Maccm mnatoana machoRidhiwan mnafiki yeye juz si alikua ana Furahi, anasema a nashukuru sasa kuwa amekua huru sababu tume imemuona hauzi, alikua anaongea Miladiayo, na ata katika video ya mwananchi digital.. Gazeti linaandika wanavyotaka wao, Kwani minong'ono alianzisha makonda
Kwa sababu,umetumia busara kuuliza nkujibu,lRidhiwan jina lke lilikuepo kwny ile orodha ya mwsho aliyojimasibu mpk watoto wa viongoz wamo ila majina hayakusomwa na orodha ya watuhumiwa ilikabidhiwa kwa commissioner wa kupambana na drigs
Ni mwana ccm hivyo ccm hakuna msafiNayajua yote. By the way Ridhiwani aache kulialia. Tuhuma za yeye kuhusika na madawa ya kulevya zimeanza kitambo. Mnakumbuka ile ishu ya kule china? Hizi ni tuhuma za muda mrefu. Asianze kutafuta pa kutokea
ili suhuzika bahada ya kuojiwa na kuoneana ana chochote kuhusu madawaMbona aliwahi kusema roho yake ilisuuzika kwa kuhojiwa, maana hiyo ilikata mzizi wa fitina wa tuhuma? Kwa maneno mengine alihitaji sana uwepo wa Tume ya kuwaambia ukweli watanzania juu yake na tuhuma zisizokuwa na kichwa wala miguu! Sasa anamlaumu vipi Makonda?
Kwani hujui kwamba Yale majina hakuyasoma hadharani? Ya awamu ya 3 sijui ya nne!Kwenye orodha ya Makonda Ridhiwani hakuwepo. Sasa hapo Makonda anaingiaje?
To repair the damagesasa nimeelewa kwa nini mama Salma Kikwete amepewa ubunge wa viti maalum..!
Nayajua yote. By the way Ridhiwani aache kulialia. Tuhuma za yeye kuhusika na madawa ya kulevya zimeanza kitambo. Mnakumbuka ile ishu ya kule china? Hizi ni tuhuma za muda mrefu. Asianze kutafuta pa kutokea
Mbona aliwahi kusema roho yake ilisuuzika kwa kuhojiwa, maana hiyo ilikata mzizi wa fitina wa tuhuma? Kwa maneno mengine alihitaji sana uwepo wa Tume ya kuwaambia ukweli watanzania juu yake na tuhuma zisizokuwa na kichwa wala miguu! Sasa anamlaumu vipi Makonda?
Wanatuzingua tu haoKwenye orodha ya Makonda Ridhiwani hakuwepo. Sasa hapo Makonda anaingiaje?
angalia ndugu yako Lizaboni alipoandika hapo juuKwa hiyo Chadema sasa mnaungana kusema kumbe Ridhiwan hauzi unga, mlikuwa mnamsingizia tu?
Ile ni kumpooza mkuusasa nimeelewa kwa nini mama Salma Kikwete amepewa ubunge wa viti maalum..!
Inaingia kama zingine.... Mwambie Riz kuwa isiingieKwenye orodha ya Makonda Ridhiwani hakuwepo. Sasa hapo Makonda anaingiaje?
Awamu ya tatu alikuwepo.Kwenye orodha ya Makonda Ridhiwani hakuwepo. Sasa hapo Makonda anaingiaje?
Kwenye orodha ya Makonda Ridhiwani hakuwepo. Sasa hapo Makonda anaingiaje?
sasa nimeelewa kwa nini mama Salma Kikwete amepewa ubunge wa viti maalum..!
Wewe na Riz1 nani anajua zaidi? Yeye ndio kasema kwamba makonda ndio kamtaja.Kwenye orodha ya Makonda Ridhiwani hakuwepo. Sasa hapo Makonda anaingiaje?
Chadema inajusika vipi na tabia yenu ya kimbwa mwitu ?Kwa hiyo Chadema sasa mnaungana kusema kumbe Ridhiwan hauzi unga, mlikuwa mnamsingizia tu?
Kwenye orodha ya Makonda Ridhiwani hakuwepo. Sasa hapo Makonda anaingiaje?
Kwan ww majina ya watu 97 ulikuwa una ya jua
Ile list ya majina ambayo haikutajwa hadharani aliyopewa anayehusika na hicho kitengo cha madawa ya kulevya pia jina lake halikuwepo?
Ile awamu ya tatu?