Ridhiwani Kikwete katika kashfa nzito Chalinze

Ridhiwani Kikwete katika kashfa nzito Chalinze

IKWETE

JF-Expert Member
Joined
Dec 26, 2012
Posts
4,057
Reaction score
696
Ni takriban miezi miwili sasa mji wa Chalinze na viunga vyake vimekosa maji.

Kuna tishio kubwa la kulipuka kwa magonjwa ya tumbo, kuhara na kipindupindu.

Taarifa za uhakika zilizozagaa hapa Chalinze ni kuwa Ridhiwani Kikwete anahujumu mradi wa maji uliozinduliwa na Rais Benjamin Mkapa wakati Kikwete Jakaya akiwa mbunge wa Chalinze.

Inaelezwa kuwa Ridhiwani na wapambe wake kama Nasser na Mkosamali wameiba Tsh 450Milioni zilizotolewa kwa ajili ya kununua dawa za kuweka kwenye maji pamoja na kukarabati mitambo iliyokuwa imezongwa na matope.

Taarifa zinasema Ridhiwani na wapambe wake wamezila hizo hela wenyewe bila kuwagawia viongozi wa mamlaka ya maji na ndio chanzo cha taarifa hizi kuvuja.

Kutokana na hilo imeamriwa maji yasitoke kwa vile ni hatari sana kwa afya za watumiaji na pia mitambo ikiingiwa na matope italeta madhara makubwa kiufundi.

Makumi ya kina mama na watoto wameonekana katika viunga vya chalinze na ndoo zao wakitafuta maji. Watoto wameacha kwenda shule ili wachote maji ya nyumbani. Kituo cha Afya chalinze ndio kina hali mbaya zaidi baada ya kukaukiwa maji kabisa.

Ridhiwani anazidi kutumaliza watanzania.
 
Wazee wa majungu karibuni jukwaani. Ishu ya tatizo la maji pia ni dar nzima wiki ya tatu sasa

Riziwan anahusikaje hapa kwenye ishu ya kitaalam ambayo dawasco na pawasco wanahusika?
 
Hapo naona fiksi tupu,Vipi kuhusu visima kumi na mbili alivyozindua hivi karibuni navyo havitoi maji?. Hata kama kusoma hujui vipi picha huzioni???.Habari za uongo uongo na majungu hapa si mahala pake.
 
mwaka huu tutasikia mengi,huu nu mwanzo tu
 
Mkoa wa pwani kwa ujumla wake una shida kubwa sana ya maji;
chama kitakachokuja na sera ya kuwapatia watu maji hakika kitapita.
 
Ngoja ni subiri kidogo.... Ila one phone call ya Riziwani inatosha ku-solve hiyo issue .
 
Mbunge na mamlaka ya maji wapi na wapi. Jipangeni upya. Ridhiwani hamumuwezi hata mfanyeje
 
IKWETE

Duh kasheshe, mtu mzima unavyokuwa muhongo inasikitisha sana, Wivu umekujaa, kuna mtu alimwambia baba yako asiwe mjanja ili afanikiwe. Kweli TZ hatuwezi endelea kwa sababu wivu na chuki ndizo zimetujaa.
 
Mbunge na mamlaka ya maji wapi na wapi. Jipangeni upya. Ridhiwani hamumuwezi hata mfanyeje

Lizaboni Lizaboni your days my friend. Please enjoy them responsibly.
 
Taarifa zinasema, taarifa zinasema, taarifa zinasema!
 
Simpendi Ridhiwani, wala chama chake, ila katika hili nasita kukubaliana.

Mkuu huu ndio ukweli. Rdhiwani amekula pesa iliyotolewa kwa ajili ya mradi wa Maji Chalinze. Wahuni wenzake wamecheza dili hela imetoka wakawapiga mchanga wa macho staff wa Mamlaka ya Maji Chalinze.
 
[QUOTE=IKWETE

Huu sasa ndo unafiki

Njoo na issue nyingine aise mimi siamini kabisa kama dogo ana njaa kali kiasi hiki

ACHA KUMWONEA BANA
 
Back
Top Bottom