Ridhiwani Kikwete ang'aka tena

Ufisadi mwingine huu hapa wa ridhiwani, yale madawa ya kulevya yanayokamatwa mara kwa mara, imebainika yakuwa ridhiwani na aliyekuwa mgombea ubunge jimbo la kawe kwa tiketi ya ccm ndiyo mawakala wa kuu wa kuuza mihadarati hiyo, kwani mpaka leo hii serikali haijawahi kuonyesha juu ya uchomaji wa moto wa madawa hayo wala kusema ni kiasi gani walichohifadhi mpaka sasa. Ridhiwani kuna kila sababu kuchunguzwa kwa hili.
Hata mimi kunawashikaji wanaenda kuchukua mzigo kwa huyo mama na huyo mama ni chakula ya mzee makamba wala siuongo wakuu safi sana wanaJF kwakuwa makini na kushuka na data za uhakika.
 
Huyu R1 ni mshamba cjui alikua anaishi msoga kipindi chote mpk zali lilipomuangukia mshua wake! Haoni watoto wa wakubwa wengine walivyotulia? Cheki wa Lowassa ingawa babayao ni fisadi cku nyingi lakini wao wapo kama hawapo huwezi kuwackia hata wakimtetea babayao. Likewise wa Mkapa, Mwinyi, nyerere na wengine. Sasa haka kapimbi cjui kanamapepe gani.. Hata wakina Beno Malisa wanashindwa kumshauri? Anamchokoza Mtikila na mambo ya mahakama, hajui Mtikila na mahakama ni sawa na mchunhaji na kanisa! Atakojoa dagaa round hii.
 
Mkuu A suspect remains innocent until proven guilty hiyo ni key principal in criminal code popote duniani. Hii sio kesi ya criminal bali ni civil lawsuit hivyo kama yeye ameharibiwa reputation yake ni jukumu lake aende mahakamani kuprove his innocence. Kumbuka kikubwa alichokidai Rz1 ni kuwa yeye ametuhumiwa Billionea wakati ni mtu wa kawaida anayeishi kimjini mjini. Na vile aliomba aombwe radhi ama sivyo ataenda mahakamani. Kama akina Dr Slaa wangeliomba radhi ingelikula kwao (yaani Dr Slaa na Mtikila) but kwakuwa muda umepita sasa atimize lile alilokusudia venginevyo hakuna kitu hapo.

Umezungumzia burden of proof- kuna kesi moja in the Supreme court ilisema hivi ruling yake :-

" Nonetheless, "[a]bsent some reason to believe that Congress intended otherwise, therefore, [the Supreme Court] will conclude that the burden of persuasion lies where it usually falls, upon the party seeking relief."

In short the burden of proof lies upon the party that is seeking a relief ambapo katika ya Dr Slaa, Mtikila na Rz1 ni nani aliyelalamika kuwa amedhurika na tuhuma hizo??? Nadhani jibu unalo tayari.


Siyo kote duniani. Rwanda tu hapo, a suspect is guilty until proved innocent by the court of law.
 
Ridhiwani kama kweli wakina Dr. Slaa wamekuonea kwa nini hutaki kuwashtaki? Inawezekana kweli wewe ni bilionea!
 
Join Date : 29th January 2008
Posts : 413
Thanks:
0
Thanked 70 Times in 45 Posts
Rep Power : 24


Umri wako humu kwenye JF haulingani na kile unachoongea. Mbona mnapoteza issue hapa? Aliyeropoka ni nani? na kwanini uje na madai hayo...nadhani mwenye uwezo wakupinga haya ni Riz aliyekanusha habari zilizotolewa na Dr. Slaa. Ulinganisho wako na kina Churchill unalenga nini? bado sijaelewa unalinganisha uwezo wa JK na hao viongozi au ni namna gani...hebu weka clear. Kama unamlinganisha Slaa na hao sioni relevancy hapa.
My Take: Nachokiona hapa either wanaojifanya kutetea huu ujinga ni watu wa karibu na huyu accused or else ni wapambe wanaofaidi kwa njia moja ama nyingine, coz haiingii akilini issue ambayo ipo wazi kwa kila mtu lakini bado kuna watu wado wanajifanya vipofu...hii imekaaje!

Jamani mbona mnasumbuka sana na huyo mbopo?ni R1 MWENYEWE KUNA KITU ANATAFUTA HAPO NDIO MAANA ANAJAZBA SANA.
 
Hivi inakuwaje mtoto baba yao ni rais na wewe unataka kuwa front line kwenye siasa. Kwa nini usifaidi mambo nyuma ya pazia tu . Watu wengine sijui hawana washauri.

Sijui kwa nini huyu Riz alikimbilia kwenye mambo ya siasa. Anamuharibia baba yake na yeye mwenyewe.
Timig yake ya kuingia kwenye siasa tena front line ni mbaya


JK leo kawaambia mawaziri kuna mambo ukikubali kuwa waziri inabidi ukubali kuyakosa. Je hajamawambia rizwani na familia yake haya kama mtoto au familia ya wa rais kuna vitu vingine wavipotezee tu na waendele kufaidi mambo nyuma ya pazia
bila kuwa front line

Usisahau kuwa mama mtu naye ni mjumbe wa mkutano mkuu sijuwi vidudu gani kupitia mkoa wake wa Lindi. nani hataki siasa ktk familia ya Bwana Mkubwa?
 
Who do you think you are? Where do u get this gut to insult other people! how dare to call others are taking drugs, they are frustrated and fail to take responsibility! do take care of their life? is what in your mind that everyone here has nothing to do? this is absolutely stupid, lack of discipline and cheap arrogance.
My Advice: Think before you speak/post you dirty comments.

Dear Elungata, "......massive character assassination fuelled by drugs,hunger,life frustration by people who have failed to take responsibility regarding their life and thinking...." this including YOU, your sisters, your brothers, your uncles, your friends and all TZnianz, who in one way or another have been affected or frustrated by this dirty system we have now....the one you are tighting your muscles to defend and protect! We are tired...really tired! let us exhaust what we have!
 
Siyo kote duniani. Rwanda tu hapo, a suspect is guilty until proved innocent by the court of law.

Siyo Rwanda tu mkuu ni nchi zote ambazo ni French empire or Territory or any country which is follow French Administration.
 
Wenzake (LIST OF SHAME) watakuwa wamemstua!!!!!!!!!!!!. Kama vp atoke on air ku apologize. Itakuwa ni aibu kwake akishndwa ku implement alichoahidi. (UMMA UNAMSUBIRIA):pound:
 
Labda anawavutia kasi!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!! Tumpe muda zaidi
 
shangaa na wewe watanzania walivyo na choyo,idea za kijamaa ndo zimetujaa,ndo mana watu hawaishi kuoneana vijicho,roho mbaya,mtu akinunua gari fisadi,wabongo bana

hapa sio suala la kuoneana vijicho,inshu ni kuwa kwanini,hakutaja mali zake zote kama alitaka kuwa transparency angetaja hadi hicho kituo cha Mafuta!tafuta mwingine wa kumtetea bwana.
 
namshangaa huyu mtoto badala ya kula Pini kama Mzee wetu Nkapa wa awamu ya Tatu, au tumpe mbinu alizotumia Mkapa kwa kukaa kmya mpaka leo!! ? naye sasa afyate Mkia mambo yake yako kwa watu, tena asijaribu asije kukutana na Papii Nguza UK
 
Back
Top Bottom