- Thread starter
- #181
Hata mimi kunawashikaji wanaenda kuchukua mzigo kwa huyo mama na huyo mama ni chakula ya mzee makamba wala siuongo wakuu safi sana wanaJF kwakuwa makini na kushuka na data za uhakika.Ufisadi mwingine huu hapa wa ridhiwani, yale madawa ya kulevya yanayokamatwa mara kwa mara, imebainika yakuwa ridhiwani na aliyekuwa mgombea ubunge jimbo la kawe kwa tiketi ya ccm ndiyo mawakala wa kuu wa kuuza mihadarati hiyo, kwani mpaka leo hii serikali haijawahi kuonyesha juu ya uchomaji wa moto wa madawa hayo wala kusema ni kiasi gani walichohifadhi mpaka sasa. Ridhiwani kuna kila sababu kuchunguzwa kwa hili.