Edwin Mtei
Senior Member
- Dec 13, 2008
- 181
- 342
Chadema jifundesheni demokrasia; hivi Ridhiwani amekosa sifa gani ya kugombe? Na kura ndio hiyo hadharani; natumai mzee Edwin Mtei atajifundisha katika hili
MwanaJF Chama,
Samahani sikuelewi. Ridhiwani kashinda kugombea jimbo alilowakilisha babake. Mimi nahusikanaje? Nakuhakikishia akiteuliwa na chama chake, atapambana na mteule wa CDM ambaye anajiandaa mpaka kieleweke!! Hakuna Kulala!!!