Nyankuru Wankuru
JF-Expert Member
- Apr 22, 2018
- 1,199
- 1,346
Matokeo ya kura za maoni CCM Jimbo la Singida Mashariki Ndg Miraji Mtaturu ameshinda kwa kura 396 sawa na ushindi wa 66% kati ya kura 634 huku wagombea wengine 12 wakigawana kura zilizosalia.
===
Mkuu wa Wilaya ya Ikungi mkoa wa Singida, Miraji Mtaturu ameshinda kura za maoni kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi(CCM) baada ya kupata kura 396 kati ya 634 sawa na asilimia 63
Mtaturu ndiye atakayesimama katika kinyang'anyiro cha kuwania Ubunge wa Jimbo la Singida Mashariki baada ya Tundu Lissu(CHADEMA) kuvuliwa Ubunge mnamo Juni 28, 2019
Kampeni za uchaguzi katika Jimbo hilo zinatarajia kufanyika kuanzia tarehe 19 hadi tarehe 30 Julai 2019 na siku ya uchaguzi itakuwa ni tarehe 31 Julai, 2019
===
Mkuu wa Wilaya ya Ikungi mkoa wa Singida, Miraji Mtaturu ameshinda kura za maoni kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi(CCM) baada ya kupata kura 396 kati ya 634 sawa na asilimia 63
Mtaturu ndiye atakayesimama katika kinyang'anyiro cha kuwania Ubunge wa Jimbo la Singida Mashariki baada ya Tundu Lissu(CHADEMA) kuvuliwa Ubunge mnamo Juni 28, 2019
Kampeni za uchaguzi katika Jimbo hilo zinatarajia kufanyika kuanzia tarehe 19 hadi tarehe 30 Julai 2019 na siku ya uchaguzi itakuwa ni tarehe 31 Julai, 2019