vitus juma
Member
- May 20, 2015
- 98
- 43
wanang'ata nakupuliza huu
Mwaka huu tukielekea uchaguzi kila mtu atajitia kuondolewa upofu.Hatimaye leo kaliona.
Basi abarikiweHatimaye leo kaliona.
Mwambieni huyo Mh. Rizione aje kule kijijini kwetu - kibaha kwa mfipa mabomba yana mwaka hayatoi maji kisa
serikali inangojewa kupitisha umeme ili uweze kusukuma maji; kule tupo siriaz tutapitisha upinzani.
Umehamia Kibaha lini maana ulishawahi kujinadi ni mkazi wa Ubungo na ukamlaumu Mh. Mnyika kuwa hauogi sababu hajakuletea maji?.....sasa umeibukia kibaha tena napo kuna matatizo ya maji kwanini unayapenda maeneo yenye matatizo ya maji????
Acha hizo mkuu, kwani Riz1 yuko bungeni kama 'independent entity' au kwa sababu 'baba ni rais'? Au unamuonea kwa sababu katika kampeini zake 1st Ledi alisimama jukwaani na kuwaomba wapiga kura kumchagua mwanae!?
nimechukizwa na namna alivyompongeza makamba ilhali yeye ndo mwenyenyumba