johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 104,319
- 183,534
Alikuwa akichangia bajeti ya mawasiliano na kusema wananchi wa kawaida ni kama wanaibiwa kwani MB 8 huwezi kutumia kwa jambo lolote la msingi. Pia amempongeza January Makamba kwa kuasisi shirikisho la vijana wa vyuo vikuu wa CCM! source Bungeni leo