Boramaisha
JF-Expert Member
- Apr 29, 2009
- 820
- 18
Sidhani kwamba tunaweza kutegemea 'mageuzi' yoyote kutokea kupitia Bunge ambalo kama alivyosema mmoja humu ni Bunge llililojaa wabuge wa chama kimoja cha CCM. Mwisho wa siku watajali zaidi maslahi na mustakabali wa chama chao kuliko maslahi ya Taifa.
Mfano hai ni jinsi ambavyo Budget imeweza kupitishwa kilaini licha ya mapungufu mengi ambayo kwa wale wanaokumbuka Bunge la Awamu ya Kwanza na ya Pili (Bunge la Chama Kimoja tu) wabunge waliweza kuichachafya serikali kwa baadhi yao 'kutoa shilingi' pale walipoona kwamba budget hiyo haiwaridhishi. Sasa hivi hata mbunge kusimama na kutoa shilingi hakuna! Au labda utaratibu huo wa 'kutoa shilingi' ulishafutwa?
Mfano hai ni jinsi ambavyo Budget imeweza kupitishwa kilaini licha ya mapungufu mengi ambayo kwa wale wanaokumbuka Bunge la Awamu ya Kwanza na ya Pili (Bunge la Chama Kimoja tu) wabunge waliweza kuichachafya serikali kwa baadhi yao 'kutoa shilingi' pale walipoona kwamba budget hiyo haiwaridhishi. Sasa hivi hata mbunge kusimama na kutoa shilingi hakuna! Au labda utaratibu huo wa 'kutoa shilingi' ulishafutwa?