Uwekezaji wa Umeme wa Upepo mnaousikia, umegubikwa na utata mtupu.
Kampuni zinaingia kinyemela, watu wanatoka moja kwa moja nje ya nchi na kufika kijijini kulaghai wananchi, viongozi wa serikali wanapewa kitu kidogo wanatulia, imefikia hadi wiki iliyopita amekuja kutembelea hadi balozi wa Uingereza kushiriki Ufisadi huu.
Wanaharakati fuatilieni sakata hili nchi yetu inauzwa tena kwa watu wasiofuata sheria, wanaojali kitu kidogo, miradi hiyo huenda isikamilike kama ilivyokuwa Richmond, au kutakuwa na mgogoro mkubwa kwani wananchi hawajui kama maeneo yao yameuzwa.
Vinara wa dili hili ni Mkurugenzi wa Manispaa na Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Singida
Kampuni zinaingia kinyemela, watu wanatoka moja kwa moja nje ya nchi na kufika kijijini kulaghai wananchi, viongozi wa serikali wanapewa kitu kidogo wanatulia, imefikia hadi wiki iliyopita amekuja kutembelea hadi balozi wa Uingereza kushiriki Ufisadi huu.
Wanaharakati fuatilieni sakata hili nchi yetu inauzwa tena kwa watu wasiofuata sheria, wanaojali kitu kidogo, miradi hiyo huenda isikamilike kama ilivyokuwa Richmond, au kutakuwa na mgogoro mkubwa kwani wananchi hawajui kama maeneo yao yameuzwa.
Vinara wa dili hili ni Mkurugenzi wa Manispaa na Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Singida