Richmond mpya Singida

Isango

R I P
Jul 23, 2008
295
450
Uwekezaji wa Umeme wa Upepo mnaousikia, umegubikwa na utata mtupu.

Kampuni zinaingia kinyemela, watu wanatoka moja kwa moja nje ya nchi na kufika kijijini kulaghai wananchi, viongozi wa serikali wanapewa kitu kidogo wanatulia, imefikia hadi wiki iliyopita amekuja kutembelea hadi balozi wa Uingereza kushiriki Ufisadi huu.

Wanaharakati fuatilieni sakata hili nchi yetu inauzwa tena kwa watu wasiofuata sheria, wanaojali kitu kidogo, miradi hiyo huenda isikamilike kama ilivyokuwa Richmond, au kutakuwa na mgogoro mkubwa kwani wananchi hawajui kama maeneo yao yameuzwa.

Vinara wa dili hili ni Mkurugenzi wa Manispaa na Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Singida
 
Kajiandae upya utuletee taarifa yenye kueleweka, uwekezaji huo unafahamika lakini unachokisema hakijaeleweka
 
Mkuu Isango, naomba habari zaidi juu ya huo mradi. Eneo ambako mradi huo utakuwa, pale Siuyu-Misimbwa ni eneo la babu yangu mzaa mama. Nilipokuwa Singida nikasikia wanapigwa dana dana kwenye fidia. Nataka kupata details ili nione nitawasaidiaje kisheria. Hilo eneo liko jimbo la Nyalandu, Dewji au Tundu Lissu? Tafadhali nijuze.
 
Mkuu Isango, naomba habari zaidi juu ya huo mradi. Eneo ambako mradi huo utakuwa, pale Siuyu-Misimbwa ni eneo la babu yangu mzaa mama. Nilipokuwa Singida nikasikia wanapigwa dana dana kwenye fidia. Nataka kupata details ili nione nitawasaidiaje kisheria. Hilo eneo liko jimbo la Nyalandu, Dewji au Tundu Lissu? Tafadhali nijuze.

Mnyampaa Tzpride kwa taarifa yako hili jimbo lipo kwa Dewji. kwa Tundu Lissu hawawezi kufika kwani wanamjua jinsi alivyo mwanaharakati.
 
Uwekezaji wa Umeme wa Upepo mnaousikia, umegubikwa na utata mtupu. &lt;br /&gt;<br />
&lt;br /&gt;<br />
Kampuni zinaingia kinyemela, watu wanatoka moja kwa moja nje ya nchi na kufika kijijini kulaghai wananchi, viongozi wa serikali wanapewa kitu kidogo wanatulia, imefikia hadi wiki iliyopita amekuja kutembelea hadi balozi wa Uingereza kushiriki Ufisadi huu. &lt;br /&gt;<br />
&lt;br /&gt;<br />
Wanaharakati fuatilieni sakata hili nchi yetu inauzwa tena kwa watu wasiofuata sheria, wanaojali kitu kidogo, miradi hiyo huenda isikamilike kama ilivyokuwa Richmond, au kutakuwa na mgogoro mkubwa kwani wananchi hawajui kama maeneo yao yameuzwa. &lt;br /&gt;<br />
&lt;br /&gt;<br />
Vinara wa dili hili ni Mkurugenzi wa Manispaa na Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Singida
&lt;br /&gt;<br /> Jamaa yangu kanipigia simu jana akiwa Singida, alimwona Lowassa anaingia mjini humo, baadaye akaingia Chenge, alishangaa kuona wanafuatana. isijekuwa ndio dili lao?
&lt;br /&gt;
 
&lt;br /&gt;<br /> Jamaa yangu kanipigia simu jana akiwa Singida, alimwona Lowassa anaingia mjini humo, baadaye akaingia Chenge, alishangaa kuona wanafuatana. isijekuwa ndio dili lao?
&lt;br /&gt;
I am tired with those two pipo. sitaki hata kuwasikia, mafisadi hawa. Agghhhh!!!!!
 
Umekurupuka sana Mkuu na thread yako! Aina ya Ufisadi hujaonesha unachosema ni suala la wananchi kulipwa fidia?
 
Uwekezaji wa Umeme wa Upepo mnaousikia, umegubikwa na utata mtupu.

Kampuni zinaingia kinyemela, watu wanatoka moja kwa moja nje ya nchi na kufika kijijini kulaghai wananchi, viongozi wa serikali wanapewa kitu kidogo wanatulia, imefikia hadi wiki iliyopita amekuja kutembelea hadi balozi wa Uingereza kushiriki Ufisadi huu.

Wanaharakati fuatilieni sakata hili nchi yetu inauzwa tena kwa watu wasiofuata sheria, wanaojali kitu kidogo, miradi hiyo huenda isikamilike kama ilivyokuwa Richmond, au kutakuwa na mgogoro mkubwa kwani wananchi hawajui kama maeneo yao yameuzwa.

Vinara wa dili hili ni Mkurugenzi wa Manispaa na Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Singida

Wewe una-post saba tu humu, ina maana unaleta majungu tu humu ndiyo maana thread yako iko hewani haieleweki.
 
Uwekezaji wa Umeme wa Upepo mnaousikia, umegubikwa na utata mtupu.

Kampuni zinaingia kinyemela, watu wanatoka moja kwa moja nje ya nchi na kufika kijijini kulaghai wananchi, viongozi wa serikali wanapewa kitu kidogo wanatulia, imefikia hadi wiki iliyopita amekuja kutembelea hadi balozi wa Uingereza kushiriki Ufisadi huu.

Wanaharakati fuatilieni sakata hili nchi yetu inauzwa tena kwa watu wasiofuata sheria, wanaojali kitu kidogo, miradi hiyo huenda isikamilike kama ilivyokuwa Richmond, au kutakuwa na mgogoro mkubwa kwani wananchi hawajui kama maeneo yao yameuzwa.

Vinara wa dili hili ni Mkurugenzi wa Manispaa na Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Singida


Umetumwa? si ukaombe kazi kwenye huo mradi badala ya kulalamikia maendeleo? au weka wewe basi umeme wa mavi ya ng'ombe usaidie gridi ya taifa.
 
Bwana isango naona kukosa ubunge kumepelekea uchanganyikiwe kabisa...uandishi wa aina gani huu mkuu...
 
Anyway ,tafadhali msimuone Isango katumwa .Mimi nalifahamu eneo la mradi.Linacover eneo la DEWJ NA LISSU. Ulivyotaja Tzpride ni eneo la Lissu . Ni kweli wananchi wananchi wanasainishwa vitu wasivyojua na wanapewa fidia kimafungu ,yaani wenye kuletaleta mdomo wanapewa fidia sio vingine.
 
Anyway ,tafadhali msimuone Isango katumwa .Mimi nalifahamu eneo la mradi.Linacover eneo la DEWJ NA LISSU. Ulivyotaja Tzpride ni eneo la Lissu . Ni kweli wananchi wananchi wanasainishwa vitu wasivyojua na wanapewa fidia kimafungu ,yaani wenye kuletaleta mdomo wanapewa fidia sio vingine.

Salanga nakushukuru mkuu. Nafanya utafiti kama ni jimb0 la Lissu, nitamshirikisha ili tulifuatilie hili la fidia, Siwezi kusema juu ya mradi huu kwa sasa maana details sina kabisa...ila ndugu zangu mmoja wao mama yangu) walinilalamikia kwa fidia imekaa kifisadi zaidi. Kama kuna mtu na details za kamapuni inayofanya huo mradi anaisaidie nianzie hapo.
 
Mnyampaa Tzpride kwa taarifa yako hili jimbo lipo kwa Dewji. kwa Tundu Lissu hawawezi kufika kwani wanamjua jinsi alivyo mwanaharakati.

Asante sana Radi. Tafadhali nipe details zaidi za huu mradi.
 
Nawashukuru wote waliochangia hata kwa kutoa matusi, suala hili si la kwangu ni suala la uzalendo, ni suala la utaifa. Umeme sio kwa faida yangu ni kwa faida ya Taifa, Detail zote tumepata tutaweka hadharani wakati ukifika. Ila Watanzania kufanya utani katika mambo ya msingi ya Taifa ndo kumetufikisha hapa. Tunaharibu hata fikra zetu kwa sababu tu ya pesa, NINAJUA YOTE YANA MWISHO, SIKU ukweli ukibainika nitaenda kusali na kumwomba Mungu AWASAMEHE wote wanaokubali watu wasiojua sheria wanaouzwa kwa bei ndogo kwa manufaa ya wengine. UKOLONI.................. IPO SIKU WATU WATASEMA TUMECHOKA!
 
Back
Top Bottom