Morning_star
JF-Expert Member
- Apr 21, 2018
- 4,174
- 11,502
I see! nakutafuta nimekumiss! Kama huko humu ni pm!
Wewe ni jinsia gani unamiss mwanaume. Hili neno lina ukakasi hata kama lina maana sahihiI see! nakutafuta nimekumiss! Kama huko humu ni pm!
Unatafuta Rwezahula yule aliyesoma political science Udsm? Yule muhaya kwa jina lingine Phineas?I see! nakutafuta nimekumiss! Kama huko humu ni pm!
Mimi 'me' sishahabikii masuala hayo unayofikiria kwangu ni najisi sana kwa mujibu wa imani yangu. Hapa mkuu huyu jamaa alikuwa rafiki yangu sana! Tumepotezana miaka 7 sana namtafuta sijui yuko wapi? Ya Mungu mengi!Wewe ni jinsia gani unamiss mwanaume. Hili neno lina ukakasi hata kama lina maana sahihi
Uenda ndo huyo kwasababu alikuwa HR!Unatafuta Rwezahula yule aliyesoma political science Udsm? Yule muhaya kwa jina lingine Phineas?
Yaani miaka 7 tu unamtafuta mtu JamiiForums?Mimi 'me' sishahabikii masuala hayo unayofikiria kwangu ni najisi sana kwa mujibu wa imani yangu. Hapa mkuu huyu jamaa alikuwa rafiki yangu sana! Tumepotezana miaka 7 sana namtafuta sijui yuko wapi? Ya Mungu mengi!
Wee vipi? Kumtafuta mtu mliyepotezana kuna uhusiano gani na kabila la mtu? Wee wa wapi? Nina wasiwasi wewe ni mkimbizi na unaishi kama mlaaniwa peke yako! Huna mke, huna mtoto, Huna rafiki, wewe ni mtu wa kukataliwa na mwisho wewe ni chizi!Yaani miaka 7 tu unamtafuta mtu JamiiForums? Wahaya bana!!!
Kwa maneno haya nimeshapata majibu kwamba wewe ni SHOGA unapelekewa moto!! Endelea kummiss mwanaume mwenzako!Wee vipi? Kumtafuta mtu mliyepotezana kuna uhusiano gani na kabila la mtu? Wee wa wapi? Nina wasiwasi wewe ni mkimbizi na unaishi kama mlaaniwa peke yako! Huna mke, huna mtoto, Huna rafiki, wewe ni mtu wa kukataliwa na mwisho wewe ni chizi!
Alikuwa HR Bukoba .Alinambia anaishi Mbezi beach ila an nyumb Morogoro.sem ni mtu wa fix fix hivi.Uenda ndo huyo kwasababu alikuwa HR!
I see! nakutafuta nimekumiss! Kama huko humu ni pm!
Hahahahah! Hilo la mbezi beach fix! Ndio ana nyumba moro! Bukoba uenda kuna ukweli kwasababu binti yaka alikuwa anasoma kaizilege olevelAlikuwa HR Bukoba .Alinambia anaishi Mbezi beach ila an nyumb Morogoro.sem ni mtu wa fix fix hivi.
Hapana mkuu! Hana taaluma ya jeshiHuyu rwezaura sio huyu kanali hapa makao makuu kweli??na jina hili hilo
Jamaa fix sana.Hahahahah! Hilo la mbezi beach fix! Ndio ana nyumba moro! Bukoba uenda kuna ukweli kwasababu binti yaka alikuwa anasoma kaizilege olevel
Unaandika maneno mengi na yasiyokuwa na maana mpaka unapoteza maana ya content nzima uliyokusudia mwisho watu wakuhisi vibaya bure.Wee vipi? Kumtafuta mtu mliyepotezana kuna uhusiano gani na kabila la mtu? Wee wa wapi? Nina wasiwasi wewe ni mkimbizi na unaishi kama mlaaniwa peke yako! Huna mke, huna mtoto, Huna rafiki, wewe ni mtu wa kukataliwa na mwisho wewe ni chizi!
Hapana mkuu! Hana taaluma ya jeshi