Mo-TOWN
JF-Expert Member
- Oct 11, 2010
- 1,721
- 515
Jamaa yangu kwa kujipendekeza mwisho...sijui ila tushukuru Mungu nachelea kusema sijui ingekuwaje angekuwa she. Kubwa kupita yote ni Serikali/Nchi yetu kutokuwa na taratibu makini za kuteua viongozi...Msishange sana kuona watangazaji redio/TV wanajikomba kwa watawala, wasomi, wezi, mafisadi etc. Ni kwa sababu wanastand chance kubwa ya kuteuliwa vyeo kama zawadi.