Na hapo pamoja na kutakiwa kulipa riba hiyo bado haujaweka gharama zingine utakazokatwa wakati wa kutaka kuitoa hiyo 150,000/= kutoka Tigopesa kuwa cash ambapo utabakiwa na laki moja elfu arobaini na ushee hivi!
150000/= kwa 45000/= mambo ya 30%MTUI mbona riba ndogo tu hiyo kwa siku 30, 100,000 haifiki hata 20,000 mpaka wamekuwekea 150,000 halafu hawakujui?
Nenda kwa Mangi 100,000 ni 40,000/ kwa hiyo 150,000 kwa Mangi ni 60,000 kwa mwezi