Riba haiongezekiLaki 4 hela. Wananidai tangu mwaka jana.
Kila nikitaka kulipa naona kama nawapa bure basi naacha
Sent using Jamii Forums mobile app
Naenda kugoongea nyagi haka kapost nmekapendaMTUI mbona riba ndogo tu hiyo kwa siku 30, 100,000 haifiki hata 20,000 mpaka wamekuwekea 150,000 halafu hawakujui?
Nenda kwa Mangi 100,000 ni 40,000/ kwa m 150,000 kwa Mangi ni 60,000 kwa mwezi
Nidanganye kwamba nalipwa au nipo kwenye mkopo mkubwa na marejesho ndani ya miezi 3 au miwili uchaguzi wako uchague miezi miwili au mi3Unalipa ndani ya miezi mitatu? Acha kamba mkuu
Nilisema hili juzi..ukizoea kukopa inakuwa km kaugonjwa!kuna mtu aliweka uzi! Bas tu maisha ya sasa ni pasua kichwaMsipende kukopa jitahidini sana kuweka akiba kile kidogo unachopata, usiizoeshe akili yako kukopa kwasababu unajua sehemu fulani wanakopesha, ni utumwa na utailemaza akili yako, wekeza akili yako kwenye kuweka akiba, hata kama ni kiasi kdg, wekeza hivyo hivyo, hizo riba mnazowalipa ndio ingetakiwa iwe akiba yako.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwanini?Kama hujasajili na alama za vidole usijidanye kulipa halafu ukope tena itakula kwako
Sent using Jamii Forums mobile app
Nasubiri wakujib nipate utaratib wa kukopa ili siku iwe mujarabuu kabisaaa..Khaaa,minakopaga elfu moja ...Hiyo laki na nusu unakopaje...mbona ntahama mtandao
Sent using Jamii Forums mobile app