Riba ya Mikopo ya Tanzania na Kenya

Riba ya Mikopo ya Tanzania na Kenya

JF Member

JF-Expert Member
Joined
Dec 14, 2014
Posts
8,200
Reaction score
11,350
Katika kujisomea kwangu mambo ya uchumi. Naona sasa ni rahisi kukopa kenya na kuja kuwekeza Tanzania. Riba yao ni nafuu kuliko ya kwetu.

Kwa hari hii sisi tutaendela kuwa chini kiuchumi. Serikali na BOT fanyeni mpango mpunguze Riba ili wananchi wakope pesa na wawekeze.


What is the CBK base lending rate?​

The CBK through the MPC, chaired by Governor Kamau Thugge, cut the base lending rate from 10.75% to 10% on April 8, 2025, to stimulate bank lending and support economic growth
 
Katika kujisomea kwangu mambo ya uchumi. Naona sasa ni rahisi kukopa kenya na kuja kuwekeza Tanzania. Riba yao ni nafuu kuliko ya kwetu.

Kwa hari hii sisi tutaendela kuwa chini kiuchumi. Serikali na BOT fanyeni mpango mpunguze Riba ili wananchi wakope pesa na wawekeze.


What is the CBK base lending rate?​

The CBK through the MPC, chaired by Governor Kamau Thugge, cut the base lending rate from 10.75% to 10% on April 8, 2025, to stimulate bank lending and support economic growth
Elewa neno base lending rate kwanza.
 
Back
Top Bottom