Jacobus
JF-Expert Member
- Mar 29, 2011
- 4,681
- 1,698
Nitumie fursa hii kushauri Vyombo vyetu vya Habari kuchuja nyimbo. Leo ni mara ya pili RFA kuucheza wimbo ambao maneno yake si ya hadhi ya radio kama hii kuucheza. Kama ni lazima, basi zichezwe usiku kuanzia saa sita.
Wimbo huu unaimbwa na mdada akikumbuka raha anayoipata akiwa kitanda cha sita kwa sita na njemba wake mpaka kufika kileleni.
Kwa kuwa Mamlaka ipo lakini ni kama inasubiri mhemko wa kisiasa basi ombi langu nyimbo aina hiyo kuchezwa usiku na si mchana.
Wimbo huu unaimbwa na mdada akikumbuka raha anayoipata akiwa kitanda cha sita kwa sita na njemba wake mpaka kufika kileleni.
Kwa kuwa Mamlaka ipo lakini ni kama inasubiri mhemko wa kisiasa basi ombi langu nyimbo aina hiyo kuchezwa usiku na si mchana.