Revealing: Wanufaika wa akaunti ya Tegeta Escrow kupitia Stanbic wameshajulikana (Clue 3)

Kila kitu na kila jambo linawahusika.

Na wanajulikana kwa management lazima.

Huko nahisi kuna Akina kikwete na the likes, tuvute subra itaelewaka tu. Uchaguzi 2015 utafanya kazi ku-expose.
 
Muhongo akikubali kuondoka peke yake nitamshangaaa sana, kwanini na yeye asimwage mboga???
 
haya bwana,ila wajue kuwa mavumbini walitoka na mavumbini watarudi watajenga majumba ,magari,mashamba n.k lakini mwisho wa yote hawatakwenda navyo.kwa wake wakristo wasome zaburi 49:16-17"usiogope mtu atakapopata utajiri,na tayari ya nyumba take itakapozidi.maana atakapokufa hatachukua cho chote;utukufu wake hautashuka ukimfuata"
.
Kibaya zaidi hawakuiba pesa tu, bali hata nafsi ya mgimwa aliyeonekana kikwazo cha pesa kuchotwa, damu yake imemwagwa.
Damu hii itawalilia mafisadi kutoka mavumbini ikidai ulipizi wa kisasi hata kizazi cha nne cha hawa mafisadi
 
Mmmmmh huko nasikia ni balaa hadi Mkuu wa upinzani yumooooo. Wasalam mod na mtoa mada

Huyo mkuu wa upinzani angekuwepo sidhani kama maCCM yangekaa kimya na pia ni vema ukatambua katika ule mgao hakuna mchaga wamejaa wahaya na wengineo.
 
.
Kibaya zaidi hawakuiba pesa tu, bali hata nafsi ya mgimwa aliyeonekana kikwazo cha pesa kuchotwa, damu yake imemwagwa.
Damu hii itawalilia mafisadi kutoka mavumbini ikidai ulipizi wa kisasi hata kizazi cha nne cha hawa mafisadi

Wa kwanza kabisa ambae damu hii itamuangamiza ni huyu GODFREY MGIMWA anayefurahia kifo cha baba yake kwa kuwa tu amepata UBUNGE.
 
Wa kwanza kabisa ambae damu hii itamuangamiza ni huyu GODFREY MGIMWA anayefurahia kifo cha baba yake kwa kuwa tu amepata UBUNGE.

Amenisikitisha sana muhehe mwenzangu.
Yaani kupewa ubunge ndo kuridhika na mauaji ya mzazi wake?

Aisee huyu ataendeleza hii kitubsitashangaa akitoa kafara wadogo zake, wanawe hata mkewe.
 
Najua wanajulikana, nilichosema ni kwamba, CAG kwa makusudi aliomba account number and amount tu akaacha majina

CAG ripot ameikamilisha ikapitia kwa mkuu wa kaya akaiediti kwanza ndio akaenda kupasuliwa kipum.bu
 
n00b bunge limeahirishwa mpaka tarehe 27 januari 2015...sasa unatudanganya waziwazi kwa kuokota viambata na kutaka kutudanganya kuwa unawafahamu walioingiziwa fedha..au na wewe ni mmoja wao.
Naam wakuu,

Kesho baada ya maswali na majibu kama mlivyofahamishwa kwenye thread nyingine; PAC watasoma ripoti yao.

Spika ameshauriwa vema na sasa umma utapata kujua mbivu na mbichi.

Yawezekana wengine mkakatiwa umeme, yawezekana vituo vingine visirushe lakini tutajuzana hapahapa JF. Wale wenye simu zinazopata mtandao ziwekeni chaji ya kutosha.

Hii ni brief tu, haionyeshi majina wala details zaidi (tunaliachia Bunge lifanye kazi yake)
attachment.php
 
.
Kibaya zaidi hawakuiba pesa tu, bali hata nafsi ya mgimwa aliyeonekana kikwazo cha pesa kuchotwa, damu yake imemwagwa.
Damu hii itawalilia mafisadi kutoka mavumbini ikidai ulipizi wa kisasi hata kizazi cha nne cha hawa mafisadi

Na hadi kufikia Jeuri Ya ku m manage Mgimwa watakuwa wameanzia mbali. Damu ya Mgimwa imetanguliwa na wengi ...Kilio ni kikubwa.
 
Wa kwanza kabisa ambae damu hii itamuangamiza ni huyu GODFREY MGIMWA anayefurahia kifo cha baba yake kwa kuwa tu amepata UBUNGE.

Hivi huyo Mgimwa jr (Mb) ndio aliekuwa Luteni usu?

Sent from my WhiteBerry using JamiiForums
 
Inakuaje account ioneshe amount na number za account halafu wamiliki wasionekane au wasijulikane? Sawa bank si ipo tumeshindwaje kuwajua wamiliki wa account hizo. Hapa kuna mchezo mchafu mkubwa sana kuliko uliofanyiwa maazimio jana?
Kweli kabisa et kuna bank statement ambayo Mmiliki wake hajulikani kweli? Maswali haya yanafanya niende extra miles thinking than beyond.
Ukiangalia vizuri na kwa umakini mkubwa kuwa bank statement imeonesha kiwango na account number ila mmiliki hajulikani bonge la aibu na dhuluma kweli kama mambo tumeamua yaende hivi.
My take based:
1: Waliochukulia pesa account ya mkombozi walichukua walikuwa wamechelewa na ndio maana walichukua huku vigogo walishabeba kama inavyosemekana.
2: Kutokuonekana na kutokufahamika kwa majina kwa system ya bank kunatilia shaka na kuaminisha umma kuwa kweli yawezekana kabisa kuna majina ya vigogo.
3: Walioazamiwa Jana watakuwa wameonewa sana tu kama kuna vigogo walilipwa kutumia stanbic bank na pesa inaonekana na account zao lakn hawafahamiki
4: Huu si mwisho wa escrow inapaswa Maswi haojiwe na Takukuru usiwe mtindo kama ule vile visenti akaachwa bila kuhojiwa kujua pesa ziko wapi?
5: Stanbic bank watoe tujue wale ni akina nani?

stanbic hawawezi toa hayo majina mkuu hata huyo hosea hana huo ubavu,hapo ndipo alipojificha mzee mwenyewe.
 
Amenisikitisha sana muhehe mwenzangu.
Yaani kupewa ubunge ndo kuridhika na mauaji ya mzazi wake?
Aisee huyu ataendeleza hii kitubsitashangaa akitoa kafara wadogo zake, wanawe hata mkewe.
Alikuwa amepata supu ya moto ya snoppy siku ile. Maana ile makitu ni kali mno inaweza kukuharibu akili
 
Wakuu, Nimeiangalia hii statement ya stanbic na kumsaidia Hosea(PCCB) kuna vitu muhimu sana ya kuviangalia:-
Account ilifunguliwa tarehe 27/11/2013, chini ya business banking. Kwa size ya biashara ya PAP, ilitakiwa ifunguliwe chini ya Corporate. Ila wakaona kule masharti ya kumjua mteja magumu(KYC) Corporate ndo wakafungua Business Banking kama wafanyabiashara wadogo wa Kariakoo.
2. Hata initial deposit hawakuweka ya USD. 100, ila hela ya kwanza ni deposit kutoka BOT USD. 22 Million tarehe 28/11/2013
3.Hela zilitoka kwa Outward Transfer(OT then reference no) na mgao ulikuwa wa watu 3 tarehe 4/12/2013 na tarehe 06/12/2013.
Hapa inatakiwa ziletwe Telegraphic Transfer Form na Swift Copy (MT 103) beneficiary wajulikane, Inawezekana pesa ilienda mje ya nchi au benki za ndani, ila USD ndo iliotoka. Supporting document gani ilitumika kutuma pesa. Hii ndo inaitwa Money Laundering. Maana walitakiwa waripoti FIU(Financial Intelligence Unit) suspicious transactions. Account hata wiki haina, inapokea kiasi kikubwa na kiasi kikubwa kinahamishwa kwa mkupuo wakati hata cheque book mteja hana.
4. PAP hata cheque book hawakuwa nayo maana waliorder tarehe 04/12/2013. Walituma pesa kwa Telegraphic Transfer.
5. Kwa uharaka wa ufunguaji wa account nina uhakika hata KYC(Know Your Customer) process haikumalizika, Hivyo kuna boss lazima alisaini Waiver/ Exception . Je Ni Nani na Mgao wake ulikuwa kiasi gani?
6. Statement inaonyesha 7 pages, kuna page zingine 6 muhimu sana kuangalia transfer zinginne
7. Viongozi wengi wa serikali wana account Stanbic chini ya kitengo kinaitwa Executive Banking. Ukiingia pale Head Office Kinondoni, ni upande wa kushoto. PCCB iitishe list ya account zote zilizo chini ya Kitengo cha Executive Banking. Hizi ni personal accounts. Lazima wakute mapesa ya kumwaga yamefichwa. Sheria inawaruhusu PCCB kuitisha Accounts hata za waliotumumiwa tu Maswi, Muhongo, Gurumo,na wasimsahau Jairo na Ngeleja pia.
8. Sethi alitaka Banki Statement iwe collected by Person(Haitumwi posta anaenda mwenyewe kuchukua)
9.Hii statement inaonekana ilipelekwa PCCB maana imesainiwa na Head of Legal(Helen Makanza)

Kazi kwako Dr. Hosea na FIU(Financial Intelligence Unit), tumeshakupa summary. Chunguzeni na Shitaki Wahalifu.
 
Hivi ni kweli majina ya waliochota fedha za Escrow kupitia Stanbic bank hayajulikani au yameshindikana kupatikana?
Hivi ukweli hasa wa waliochota fedha hizi kupitia Stanbic bank ni upi?
Je, ni kweli familia ya Mh. Imehusika?Kama haijahusika ukweli ni upi?
Kwakweli hapa pameacha ombwe.
 
CCM wajanja sana, wametuletea CD ya Kadhi ili kutuhamisha kwenye hii story.
 
Back
Top Bottom