Mwana Mpotevu
Platinum Member
- Sep 7, 2011
- 3,295
- 2,500
Meena si DC? heheh kibarua kitaota nyasi mapema
Meena si DC? heheh kibarua kitaota nyasi mapema
Meena si DC? heheh kibarua kitaota nyasi mapema
Wana JF
Nimethibitishiwa na msaidizi wa karibu wa Waziri wa mambo ya ndani kuwa mmoja wa viongozi wa juu wa Jukwaa la wahariri na aliyekuwa na jukumu la kuandaa maandamano hayo Bwana Nevil Meena ndie aliyemwalika waziri nchimbi kuhudhuria maandamano ya wanahabari
Bwana Meena anadaiwa kumruhusu waziri kuja kwenye maandamano kama mtu wa kawaida sababu watu wote walikuwa wanakaribishwa. Hii ndio sababu ilimfanya Meena kupatwa na aibu pale waandishi walipomkataa waziri kuhutubia huku yeye akiwaomba wamsikilize lakini nguvu za umma za waandishi zikamshinda.
Hivyo itakuwa ni makosa kulaumu ujio wa waziri pale na madai kuwa alivamia. Ukweli ni kwamba alipewa ruhusa ya kuwepo pale tena ruhusa toka kwa waandaaji wa maandamano wenyewe, yaani Jukwaa la wahariri.
Nawasilisha
Waziri aonyeshe barua aliyoandikiwa
Ni kweli kabisa. Unajuwa iko hivi, waliokuwa wana andamana ni waandishi wa habari na siyo wahariri. Wahariri walikwenda pale kwa ajili ya kuwapokea wana taaluma wenzao tu. Lakini je nani alitakiwa apewe hayo malalamiko ya unyanyasaji wa vyombo vya habari uliopelekea kuuwawa kwa Mwangosi? Ni serikali obvious, sasa lawama ilikuwa ni kwa jeshi la polisi ambalo liko chini ya Waziri wa mambo ya ndani. Hivyo wahariri walimualika Nchimbi kuja kupokea malalamiko ya jeshi lake. Full stop
Mkuu haukuwa mwaliko rasmi wa barua, it was informal
Mkuu haukuwa mwaliko rasmi wa barua, it was informal
Dah nilihisi k2 kama hicho especial kutokana na hotuba aliyoitoa MEENA muda mfupi baada ya waziri kufukuzwa