Revealed: Government development projects are underfunded

Na hakuna kauli inayoniudhi kama "wanaolalamika ni wapiga dili". Mimi nina kabiashara kangu...wakati wa JK kalikua angalau kanaendelea vizuri...nilikua nimeajiri watu watano....na hata sikuwahi "kupiga dili"...kwanza hizo tenda za serikali sijawahi hata kujaribu. Sasa hivi kabiashara kanapumulia mashine..mfanyakazi kabaki mmoja na hata huyo ana hatari ya kuondoka. Eti na mie mpiga dili?
Pole Mkuu
 
Kama nahodha wetu atakua mnyenyekevu na kukiri kwamba amekosea kwenye strategy yake ya uchumi..na kukubali "kubadilisha gia angani"...pengine bado tuna nafasi ya kuokoa jahazi. Shida ni kwamba sidhani nahodha wetu anao huo unyenyekevu
Abadili gia angani? Hiyo sura yake ataificha wapi. After kashfa zote zile alizot.upaka kwamba sisi ni wapiga dili? Leo atakwenda kwa nani na ataanza vipi kucompromise naye?. Nasubiri kushuhudia anguko la serkali iliyofilisika
 
Hiki ndiyo kitu cha kushangaza sana Mkuu. Huyu Majaliwa kakazana kusema uongo hadharani kwamba uchumi wa nchi ni mzuri pamoja na kuwa there is so much evidence out there to show that Tanzani's economy is in very bad shape. Anaendelea kusema uongo kwa faida ya nani? Hivi wanadhani Watanzania wote ni wapu.mbavu tukubali uongo wa hii Serikali wakati hali halisi ya uchumi tunaijua!? Lini wataamua kuwa wakweli kuhusu hali ya uchumi wa nchi yetu!?

Aache uongo na ulaghai wa mchana huyu bwana. When you start prioritizing (fanya hili kwanza na acha hili, japo la muhimu pia) means you are showing signs of financial problems. Kwanza hizo "priority areas" zao ni zipi? Kulipa mishahara kwanza?
 
Abadili gia angani? Hiyo sura yake ataificha wapi. After kashfa zote zile alizot.upaka kwamba sisi ni wapiga dili? Leo atakwenda kwa nani na ataanza vipi kucompromise naye?. Nasubiri kushuhudia anguko la serkali iliyofilisika
Ni kweli mkuu...kubadili gia angani kunahitaji mtu mwenye unyenyekevu wa hali ya juu ambaye yuko tayari kukiri kwamba alikosea (hata kama alikua na nia njema). Hilo anguko litatuumiza wengi sana..i wish kungekua na njia la kuliepuka. Lakini kwa jinsi ninavyoona...itabidi tukinywe tu hicho kikombe
 
Hili la kukubali kwamba alikosea kwenye maamuzi yake ndilo linalostahili kufanyika haraka na kuwapa uhuru washauri wa mambo ya uchumi wamshauri nini kifanywe ili kuunusuru huu uchumi unaoanguka kwa kasi ya kutisha. Tatizo yeye anajiona ndiyo yeye siku zote yuko sawa kwenye maamuzi yake. Akiamua kuendelea hivi basi tusishangae uchumi wa Tanzania kuanguka kuliko nchi yoyote ile ya Afrika na si ajabu duniani katika mwaka huu wa 2016.

Kama nahodha wetu atakua mnyenyekevu na kukiri kwamba amekosea kwenye strategy yake ya uchumi..na kukubali "kubadilisha gia angani"...pengine bado tuna nafasi ya kuokoa jahazi. Shida ni kwamba sidhani nahodha wetu anao huo unyenyekevu
 
Hili la kukubali kwamba alikosea kwenye maamuzi yake ndilo linalostahili kufanyika haraka na kuwapa uhuru washauri wa mambo ya uchumi wamshauri nini kifanywe ili kuunusuru huu uchumi unaoanguka kwa kasi ya kutisha. Tatizo yeye anajiona ndiyo yeye siku zote yuko sawa kwenye maamuzi yake. Akiamua kuendelea hivi basi tusishangae uchumi wa Tanzania kuanguka kuliko nchi yoyote ile ya Afrika na si ajabu duniani katika mwaka huu wa 2016.
Sasa mkuu kama bodi ya TRA imepigwa chini eti kwa kutoa ushauri ambao mtukufu hakuupenda.....unadhani kuna mshauri yoyote atakua na ujasiri wa kutoa ushauri tena? Sana sana wataendelea kutoa mapambio ambayo anapenda kuyasikia..."uchumi unakua" "wanaolalamika ni wapiga dili" "kila mwezi tunakusanya zaidi ya trillioni 1". We are in for a bumpy ride as a nation...
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Kazi ipo Mkuu kwa hiyi yeye anataka ushauri anaoupenda yeye tu hata kama hauna maslahi kwa Watanzania na Watanzania. Kuna haja ya kuujua ushauri huo ili tuuone kama ulitolewa kwa maslahi ya Taifa au la. Sasa katika mazingira kama haya ya kufukuzwa kitahisi rahisi kiasi hiki bila hata ya kupewa nafasi ya kujitetea unadani kuna mshauri yeyote yule ndani ya Serikali atathubutu kufungua mdomo wake!? Ni wakati muafaka wa washauri wa Serikali wa kila sekta kuungana na badala ya kuishi kwa woga huku wakiona nchi inaenda mrama waje hadharani waseme ukweli wao kuhusu muelekeo wa nchi. Atawafukuza wangapi!?

Sasa mkuu kama bodi ya TRA imepigwa chini eti kwa kutoa ushauri ambao mtukufu hakuupenda.....unadhani kuna mshauri yoyote atakua na ujasiri wa kutoa ushauri tena? Sana sana wataendelea kutoa mapambio ambayo anapenda kuyasikia..."uchumi unakua" "wanaolalamika ni wapiga dili" "kila mwezi tunakusanya zaidi ya trillioni 1". We are in for a bumpy ride as a nation...
 
A Bank of Tanzania (BoT) report has established that the government released only Sh387 billion for development projects, down from Sh824.4 billion it planned for disbursement in September.

BoT’s October 2016 economic review also showed that the government missed its domestic revenue collection target by 16 per cent in the month.

Only Sh82.2 billion of non-income revenue was collected, down from the projected Sh225.7 billion during the period.

The collection income tax target of Sh573.6 billion was missed by 10 per cent. Foreign-financed projects got only Sh100.6 billion instead of the targeted Sh993.6 billion.

The report has shown that the Central Government collected 84.3 per cent of the planned Sh1.3 trillion.

Sh41.2 billion against the target of Sh55.5 billion was collected from Local Government sources.

Grants received were less by Sh400.9 billion. Taxes on imports were Sh27.8 billion below the target.

The goal was also missed in income tax by Sh55.8 billion

Finance and Planning minister Philip Mpango was not immediately available to comment on the trend yesterday. But Mzumbe University economics professor Prosper Ngowi said the decline in revenue has been attributed by the government’s cutting-cost measures.

He said the government would have spent the collected money to stimulate the economy. “It is not healthy to spend below the collected revenue. This reduces the value of money into the circulation. We don’t have to cut costs even for the approved budget.”

Prof Ngowi said failure to return the money collected from economic activities into the circulation through government expenditure would lead to the shrinkage of sources of income that would eventually affect the government itself.

Chanzo: Citizen
 
Kumbe ndio maana mwenyekiti katumbuliwa... Pole sana mwenyekiti wa TRA. In the end of the day, sio kosa lako... Its a structural problem...
 
nanukuu.."tunampango wa kukuza uchumi wa tz kutoka 7.9% hadi kufikia 7.4% ktk bajet ijayo".mwsho wa kunukuu...nam sasa nimeamini kuwa kumbe mkuu(malaika mtukufu) alikuwa sahihi ndani ya kauli hiyo alipokuwa nje ya nchi..
 
sizonje,kuwa msikivu katka taaluma za watu,usiwe mjuaji wakati jua linakuchoma...nikishuka posta ntakuja magogoni kukujuza!!
 
Back
Top Bottom