Shivji kwani ni mtanzania?
hizo ndizo za CHADEMA mara zote huwa wanajaribu kuwalinganisha makanjanja wao na watu maarufu siyo Tanzania hata Duniani.
Mbona mnataka kumvunjia heshima Prof. Shivji kumfananisha na Msigwa.
Peter Msigwa
Kwa HESHIMA zote, napinga mtazamo wa prof. Issa Shivaji, kuwa eti, uzalendo ni kuitii serikali iliyokomadarani. Na utaifa eti ni ukereketwa wa nchi yako hata Kama huipendi serikali. Kwa mtazamo huu, Nyerere hakuwa mzalendo kwa kuwa aliipinga serikali ya mkoloni? Vipi Mandela aliyepinga serikali ya kibaguzi kule bondeni naye hakuwa mzalendo? Vipi waganda walioipinga serikali ya Idd Amini? Vipi serikali Kama ya Mabutu wa DRC?
Kuna wakati kuichukia serikali serikali iliyopo madarakani ni uzalendo, serikali huja na kuondoka, ila taifa hubaki, serikali yoyote ambayo, inatumia vibaya raslimali za nchi yake, ikichukiwa ni uzalendo. Serikali ya kifisadi, inayoendekeza ujangili, wizi na uporaji wa Mali za umaa inafaa kuchukiwa kwa nguvu zote na huo ndio uzalendo.
Serikali inayokiuka haki za binadamu, inayokandamiza demokrasia, kuitii serikali Kama hiyo sio uzalendo. Ndugu Issa Shivji... Sijakuelewa hasa msomi Kama wewe. ..how would you say that? saw you on news yesterday (ITV).
Mbona mnataka kumvunjia heshima Prof. Shivji kumfananisha na Msigwa.
Mbona mnataka kumvunjia heshima Prof. Shivji kumfananisha na Msigwa.
Kamati ya CHENGE inatokana na wajumbe wa Bunge Maalum la Katiba, acha ukanjanja wako.
Heshima sio uprofesa wa cheti bali mambo mazuri unayoyafanya/sema yenye manufaa kwa jamii. Unaweza kuwa prof lakina bado ukawa mpumbavu na unaweza usijue hata kusoma na kuandika lakini ukawa na mabo yenye maana na yanayojenga jamii. Kwahiyo kama prof ni mjinga lazima tumseme kwa ujinga wake.
hizo ndizo za CHADEMA mara zote huwa wanajaribu kuwalinganisha makanjanja wao na watu maarufu siyo Tanzania hata Duniani.
ninyi watu wa Lumumba mnamtindio wa ubongohizo ndizo za CHADEMA mara zote huwa wanajaribu kuwalinganisha makanjanja wao na watu maarufu siyo Tanzania hata Duniani.