Azarel
JF-Expert Member
- Aug 25, 2016
- 29,020
- 40,792
Mtoto wa Askofu Mkuu Barnabas Mtokambali si ndio aliyemuoa Mtoto wa Askofu Lazaro mwanzilishi wa T.A.G na kufunga harusi kubwa sana ya kifahari? 🤣Migogoro ya maslahi tu
Mtoto wa Askofu Mkuu Barnabas Mtokambali si ndio aliyemuoa Mtoto wa Askofu Lazaro mwanzilishi wa T.A.G na kufunga harusi kubwa sana ya kifahari? 🤣Migogoro ya maslahi tu
NI kweli TAG na EAGT wapo TISS wengi mno, na ni Walokole ndioKumbe TISS ni walokole!
Architect yule kuhusu kiingereza sijui me namjua kipind tunasoma wote Ardhi UniversityNi TAG wale kwa pastor huruma nkone na English yake ya kuungaunga 😃
Ana Mahubiri Ya Kutobembeleza MuuminiNakusikitikia utakufa vibaya wewe...!😄😄😄
666 ni mwili wako mwanadamuPesa ndo 666 iliyotabiriwa na imefanikiwa kulivuruga kanisa duniani.
Hahaaaaaa so anamng'oa meno tu bila ganzi.Tena wanawapenda sana, ogopa mtu aliyeshika dini halafu akawa kwenye vyombo vya usalama. Anaona kama vile mambo anayofanya ni sehemu ya Ibada 😂😂😂. Akimuona Mdude anaona ni kama shetani lucifer kabisa
Bado ni mchungaji?Kipilimba alikuwa mchungaji pale CCC Upanga
Bado anapiga injili...Bado ni mchungaji?
Wewe unasali kabisa gani ili tuliseme na Sisi tutoe nyongo zetu😄Haya Makanisa TAG, EAGT etc.wanafiki watupu wanajifanya wana wokovu kumbe wachafu watupu. Naishi nao wengine ni ndugu zangu nawajua nje ndani. Mchungaji anamiliki baa halafu jpil yupo madhabahuni eti anahubiri injili.Pathetic
Hata hayo sio. Usihadaike na ukongwe ukaacha Maandiko!Haya nayo ni Makanisa??
Makanisa ya kikristo ni Matatu tu: RC, Lutheran na Sabato.
Mengine yote kuna haja ya Serikali kuyafungia.
Kwamba vipaji vya Mpira watu wanapewa na SHETANI?🤣🤣🤣🤣kanisa takatifu na mambo ya mpira wapi na wapi?
Ulitaka aendelee kukaa na wahuni ili aambukizwe uhuni wao?Siwezi kumpongeza.
Kujitoa kwa wengine kuna maanisha mambo mengi moja ikiwa ni ubinafai.
EAGT na TAG hakujawahi kutulia tangu walipotengana, halafu cha ajabu wote ni wa imani moja, misimamo yao ni ya aina moja. Kwa sasa ni pesa na kiburi cha uzima, kujiinua kuona huyu ana upako kuliko huyu, hilo litawatafuna, hata hapo kwa Maghembe wapo watakaojitoa na kuanzia lingineUlitaka aendelee kukaa na wahuni ili aambukizwe uhuni wao?
Hayo uliyoyaorodhesha ni sababu tena zilizotamalaki sana,lakini kwa ishu ya Maghembe ni tofauti. Yeye hataki Injili ipotoshwe!EAGT na TAG hakujawahi kutulia tangu walipotengana, halafu cha ajabu wote ni wa imani moja, misimamo yao ni ya aina moja. Kwa sasa ni pesa na kiburi cha uzima, kujiinua kuona huyu ana upako kuliko huyu, hilo litawatafuna, hata hapo kwa Maghembe wapo watakaojitoa na kuanzia lingine
Sina kanisa Nina Imani mkuuWewe unasali kabisa gani ili tuliseme na Sisi tutoe nyongo zetu😄
Bahati yako nilikuwa nakuvizia ili nikupigie spana za kufa mtu🤣🤣🤣🤣🤣Sina kanisa Nina Imani mkuu
Kwamba vipaji vya Mpira watu wanapewa na SHETANI?
Usipime Maji Kwa Miguu Miwili MkuuBahati yako nilikuwa nakuvizia ili nikupigie spana za kufa mtu🤣🤣🤣🤣🤣
Yesu alihubiri kwenye masinagogi huko huko ambako walikuwa tafsiri tofauti, hakuna mahali alianzisha sinagog lake, aliingia hekaluni kule kule ambako Mafarisayo walipotosha maandiko kwa manufaa yao.Hayo uliyoyaorodhesha ni sababu tena zilizotamalaki sana,lakini kwa ishu ya Maghembe ni tofauti. Yeye hataki Injili ipotoshwe!