Habari Great Thinkers na Wajasiriamali wenzangu. Ninatafuta mpangaji wa kupanga Frame yenye ukubwa wa 20ft x 11ft kwa ajili ya mgahawa. Fremu imetengenezwa kisasa kwa ajili ya biashara hii.
Nahitaji kupata mtu amabaye atanilipa pesa ya gharama za vitu vilivyomo pamoja na ujenzi mdogo nilioufanya mfano tiles na vilevile kama atahitaji meza za wateja zilizokuwepo.
Eneo lina biashara kubwa sana ni barabara ya kuelekea Chuo cha Kampala (KIU) kule Gongo la Mboto.
Sababu ya mimi kuiacha ni baada ya kuhamia mbali imekuwa ngumu kusimamia biashara hii. Ninasisitiza biasahara ni nzuri mno pale.
Tazama picha za eneo. Mimi sio dalali.
Kwa Mawasiliano: 0656022544, 0769711544, 0787545727
Karibuni
Nahitaji kupata mtu amabaye atanilipa pesa ya gharama za vitu vilivyomo pamoja na ujenzi mdogo nilioufanya mfano tiles na vilevile kama atahitaji meza za wateja zilizokuwepo.
Eneo lina biashara kubwa sana ni barabara ya kuelekea Chuo cha Kampala (KIU) kule Gongo la Mboto.
Sababu ya mimi kuiacha ni baada ya kuhamia mbali imekuwa ngumu kusimamia biashara hii. Ninasisitiza biasahara ni nzuri mno pale.
Tazama picha za eneo. Mimi sio dalali.
Kwa Mawasiliano: 0656022544, 0769711544, 0787545727
Karibuni