TANZIA Rest In Peace Tanzania One (T.O), Elias Kihombo

Basi kila mtu atajifanya yuko better than him,shukeni na nyie mafizkisi tuwaone,watu mna wivu hata kwa umaarufu mdogo alio kuwa nao..mweeehhhh...jiulize mimi au wewe ukifa utafikisha page ngapi humu watakaosema wanakujua..?? 🤣 🤣 🤣 🤣 ameacha alama duniani,sio jamii ikufanyie nini wewe,jiulize utaifanyia nini jamii..?? kaka Elias,vita umevipigana mwendo umeumaliza..ulale pema
Wengi wanaoponda hapa ni wale jamaa aina ya "wivu"...

Tumesoma nao MASHULENI...
Tuko nao MAKAZINI.....

Nilichojifunza toka utoto ukiwa exceptional darasani ama hata "ukiwa nao mpunga mwingi...hutokosa "maadui" kuanzia ndani ya FAMILIA.....na ndio maana wanatania "bongo wanga wengi"🤣🤣🤣.

Cynicism tu.....
 
Huyu mwamba hakumaliza petroleum engineering pale udsm, alidisco akiwa third yr. nlikuwa nyuma yake mkuu. Mwamba alikuwa anajua sana, sema petroleum ilimpeleka puta sana.
Sasa mbona Baba Swalehe anasema jamaa aligraduate na degree ya Petroleum Engineering! Watu wengine mafala sana. Kuleta habari za uongo uongo tuuu
 
Ma-TO wako wangapi? Tukijumlisha wa level zote
Na utaratibu wa TO umeanza mwaka gani?
Maana sasa hizi sifa mpaka naanza kuwaza

Ukisema kuna Ma TO wengi mavyuoni, viwandani na mahospitali

Ukisema kuna Ma TO wengi wamepitia mikononi kwake naanza kujiuliza Tanzania ina Ma TO wangapi?
Wa kwanza kabisa professor kabudi macho ya kinyonga!
 
sijui kwa nini wanambeza kaka wa watu as if ukiwa TO is all about Physics alone?! nachojua ni masomo yote utakuwa umepass,sasa hata kama mnamkataa kwenye Physics,je kufaulu masomo mengine sio kielelezo kuwa alikua Genius ?? nyie vilaza wezangu tulieni tuu 🤣 🤣 🤣 🤣
🤣🤣Shangaa dada yangu...

Yaani upate PCM AAA...halafu uwe na uwezo mdogo?!!!

Hiyo AAA ya HGL pia si rahisi....

Wivu na "usnitch" tu kwa marehemu......

Wanasema "bongo nyoso"🤣🤣
 
sijui kwa nini wanambeza kaka wa watu as if ukiwa TO is all about Physics alone?! nachojua ni masomo yote utakuwa umepass,sasa hata kama mnamkataa kwenye Physics,je kufaulu masomo mengine sio kielelezo kuwa alikua Genius ?? nyie vilaza wezangu tulieni tuu
Hebu waambie na wewe dada

Mtu ana average 98% masomo yote
Phy 99%
Chem 97%
A.maths 98%
Gs 98 %
Wanasema alibahatisha
Hivi unaweza kubahatisha yote hayo?
Hivi unaweza bahatisha bila kuwa na akili??
Yaani tuende tu na hiyo physics...upate 99% kwa kubahatisha??hakuna bahati za hivyo duniani.

Yaani watu wamekomaa ,hawataki kukubali na nimegundua wengi hawajaisoma hata hiyo physics..mziki wake hawaujui.
Ila wamekomaa tu kusema "alibahatisha"

Watanzania wivu unatusumbua..
Jamaa alikuwa kichwa..katuzidi wengi tu humu..yawezekana wote.
Ila watu ndo hawataki sasa kukubali.
 
Leo tunavyozungumza Elias Kihombo hatunaye tena duniani. Inasemekana kifo chake ni kutokana na maradhi yaliyokuwa yakimkabili.

Tunahitaji kuwa Karibu na Mungu wakati wote kwani safari yetu ipo mikononi mwake.

Bwana ametoa na bwana ametwaa jina la bwana lihimidiwe!

I will never forget you My brother.

You will be missed forever and always. The beautiful moments you shared with me will always speak of a great person that you were. Rest in peace up in heaven.

-----
Pia soma




ALAMA ALIZOACHA ELIAS KIHOMBO


Imepita miaka takribani miaka 14 sasa, tangia Tanzania ilipopata kumshuhudia mwanafunzi alieshindikana katika masuala ya Elimu hapa namzungumzia,Tanzania One (2006) Elias Kihombo katika matokeo ya Kidato cha Sita mwaka 2006 akitokea shule ya sekondari Tosamaganga wengi wanapenda kuiita Tosa Boy's

Mwaka 2006, Necta ilimtangaza mwanafunzi Elias Kihombo kutoka Tosamaganga Secondary School kuwa ndo kipanga wa mwaka huo akiwapita wanafunzi wenye akili zaidi waliovuma toka shule kongwe na special schools kama Kibaha, Ilboru, Mzumbe, Kilakala, Tabora Boys etc ukweli ni kwamba Elias Kihombo hakuwa maarufu kwa kipindi hiko na wengi walisikia tu story zake haswa kwa Wanafunzi wa Mzumbe Boys ambao Mara nyingi walipata kumuona katika mazingira yao.

Kumbuka kwamba Elias Kihombo hakupewa Priority kubwa sana ya kuwa T.O wa Advance Level kutokana pia na matokeo yake ya Kidato cha Nne (4) kuonekana kuwa ya kawaida sana, Kihombo alifanikiwa kupata Division One (1.14) akiwa na Physics-A Chemisrty-A Biology na Mathematics-B, Ndipo mwaka huo 2003 alipata kuchaguliwa Tanga Technical school iliyopo mkoa wa Tanga (tetesi), lakini baadae aliamua kurudi tena katika shule yake ya zamani yaani Tosamaganga Secondary kuendelea na masomo yake ya Advance Level. Alimaliza hapo hapo akifanikiwa kuwa mwanafunzi wa kwanza toka Tosamaganga kwa Advance Level kuwa mwanafunzi bora kitaifa, Alifanikiwa kupata maksi za juu sana na kupata Division One (1.3)

Physics-A
Chemistry-A
Advanced Mathematics-A

October 2006 Alichaguliwa kujiunga na University of Dar Es Salaam (UDSM) akiwa kama T.O kusoma Bachelor of Science In Telecommunication Engineering (4years) na tetesi zinasema alifanikiwa kupata ufadhili wa masomo yake chini ya kampuni ya Airtel.

Siku zilienda na alikuwa karibu kumaliza Elimu yake ya chuo kikuu, huku akipata madili mengi ya kufundisha Tuition maeneo mbalimbali ya mkoa wa Dar Es Salaam na shule nyingi za sekondari ndani ya Tanzania, hasa shule za Advance.

Lakini baada ya Miaka 4 kupita ikiwa miezi michache tu imebaki ya kumaliza chuo, Tanzania One Kihombo alidisco chuo na hivyo kumfanya asifanikiwe kupata degree yake ya kwanza mwaka huo 2010, lakini wengi wanasema hakupaswa kudisco chuo lakini ndivyo ambavyo Hatima yake ilipoishia hapo (tetesi )

Moja kati ya maneno ambayo wengi wanamnukuu aliyopata kuyasema ndani ya Miaka hiyo, alisema "Duniani walionipita kwa akili ni watu wawili tu wa kwanza Mola, wa pili ni Mzungu" hapa ndipo hatima yake inavyosemekana ikafungwa na wakuu wake lakini wengine wanasema vingine.

Elias hakutaka kwenda chuo chochote kile na ndani ya Miaka hiyo mitatu baada ya kudisco chuo, yaani 2011, 2012 na 2013 alikuwa anazunguka shule mbalimbali za sekondari Tanzania kupiga mapindi ya Physics na Chemistry na kwelii huyu jamaa alikuwa ni Invisible katika masomo hayo mawili, Japo Pure Mathematics alikuwa hafundishi kabisa kwasababu alikuwa anasema "Siwezi kufundisha Somo rahisi duniani kama Pure Mathematics, Mimi nafundisha Physics na Chemistry tu"

Ndipo baada ya Miaka mitatu kupita (3) T.O aliyetukuka zaidi katika vinywa vingi vya wanafunzi wa Tanzania, kutokana na ufundishaji wake na kuwaita wanafunzi wake Nyumbu na kuwa na Jeuri zaidi ya Akili zaidi ya watu wengine, alifanikiwa kurudi tena ndani ya University of Dar Es Salaam safari hii akiwa ameamua na amezamilia kuchagua kozi nyingine Mpya kabisa iliyoanzishwa mwaka huo 2013 hapohapo Udsm iliyoitwa (Bachelor of Science In Petroleum Engineering). Hii kozi ilikuwa inachukua wanafunzi 20 pekee Tanzania nzima tena wale waliosoma PCM tu (Physics, Chemistry na Advanced Mathematics) na waliopata Marks za juu kabisaa.

Baada ya Miaka 4 kupita, ndipo July 2017, T.O Elias Kihombo alifanikiwa kumaliza Degree yake ya kwanza (Bachelor of Science In Petroleum Engineering) na mnamo November 2017 Elias Kihombo alifanikiwa kutunukiwa Degree yake ya kwanza akiwa ndani ya University of Dar Es salaam baada ya Miaka 11 kupita.

Hapa imepita Miaka mingi tangia, 2006 Engineer Elias Kihombo alivyotangazwa kuwa Tanzania One lakini ilimchukua Miaka mingine 11 mpaka kutunukiwa Degree yake ya kwanza. Huyu ndiye The Best Of The Best, Eng Elias Kihombo Mwanafunzi aliyepata kutokea Tanzania kuwa na uwezo mkubwa darasani. Nlsikia jinsi ambayo eng elias alikuwa na kipaji cha kufundisha kuanzia asubuhi mpk jioni na kusitokee hata swali moja liliomtolea nje .siku ambayo alisolve maswali kuanzia saa moja hadi saa nne hakuna swali lililo msumbua saa tano hadi saa nane hakuna swali lililo msumbua saa tisa hadi saa kum na mbili hakukua na swali lililo msumbua tuliendelea na mwendo huo kwa muda wa wiki moja . Itabaki historia ktk maisha ya wanafunzi na elimu ya Tanzania kwa ujumla.

Lakin leo tunavyozungumza Elias Kihombo hatunaye tena duniani. Inasemekana kifo chake ni kutokana na maradhi yaliyokuwa yakimkabili. Tunahitaji kuwa Karbu na Mungu wakati wote kwan safari yetu ipo mikononi mwake. Bwana ametoa na bwana ametwaa jina la bwana lihimidiwe!

I will never Forget you My brother

You will be missed forever and always. The beautiful moments you shared with me will always speak of a great person that you were.

Rest in peace up in the heaven

View attachment 1630262
View attachment 1630283
R I P kihombo
 
Sema mchizi anaoneka alikuwa anawagonga sana watoto wa kike na umeme ndio unaonekana usoni ndio ulio mmwaga chini. Masikini sijui alikuwa Hali dawa za wazungu ambazo alikuwa anawaona kama hawana akili
Mmhhh!!!,Kuna ukweli hapo?.
 
Sawa...

Basi akili nyingi unazo wewe.....

Kwani kukariri sio package ya AKILI NYINGI....?!!!

Hao magenius wote ambao tunawasoma ima katika SCIENCE ama PHILOSOPHY wote walikuwa na UWEZO MKUU wa kukariri...

Hata mitume wanaoaminika na wanadini...wote walikuwa na uwezo mkubwa wa KUKARIRI....kwa maneno yako akina prophet Moses hawakuwa ni MAGENIUS.....

Tatizo lako unapenda "ligi" na kumdharau kila mwenye hoja tofauti usizozipenda.....

Nina hakika hujawahi kusoma kitabu kiitwacho UP...

Ungekuwa unaujua uwezo adimu aliopewa marehemu Elias wala usingebwata hapa....

Leo hii dunia nzima inaamini ya kwamba watu wanaosoma fani hizi mbili,wana uwezo wa kipekee kuliko WENGINE....
1.Medicine
2.Law

Hujiulizi kwanini wanaamini hivyo?!!!

Jibu...

Ni"ARTS" inazohitaji uwezo mkubwa wa IMAGINATION na "kukariri" UNAKOKUBEZA....

Kalaghabaho!!
Unaniandikia majitu mengi hata kusoma nashindwa.

Sijui ni waraka au malalamiko?

Eleza huyo Kihombo wako alifanya moja, mbili, tatu.

Usinifokee. Eleza.
 
Ma-TO wako wangapi? Tukijumlisha wa level zote
Na utaratibu wa TO umeanza mwaka gani?
Maana sasa hizi sifa mpaka naanza kuwaza

Ukisema kuna Ma TO wengi mavyuoni, viwandani na mahospitali

Ukisema kuna Ma TO wengi wamepitia mikononi kwake naanza kujiuliza Tanzania ina Ma TO wangapi?
Labda na wale wa kwanza kwenye mashule yao.
 
Kama huna akili ukipewa pepa ya physics hata siku 1 kabla ya mtihani hupati 95+
Kazeni vichwa.
Wengi wamekazana tu kubeza hapa
Ukweli ni kwamba wanaweza kupewa marking scheme siku moja kabla ya paper na wasitoboe.
Kama unajua unajua tu!
Physics si somo la kubahatisha kama wanavyotaka kutuaminisha hapa..
Yaani eti jamaa alipata A Tena ya 99 kwa bahati!!aki ya nani Kuna vitu vinachekesha
 
Sawa...

Basi akili nyingi unazo wewe.....

Kwani kukariri sio package ya AKILI NYINGI....?!!!

Hao magenius wote ambao tunawasoma ima katika SCIENCE ama PHILOSOPHY wote walikuwa na UWEZO MKUU wa kukariri...

Hata mitume wanaoaminika na wanadini...wote walikuwa na uwezo mkubwa wa KUKARIRI....kwa maneno yako akina prophet Moses hawakuwa ni MAGENIUS.....

Tatizo lako unapenda "ligi" na kumdharau kila mwenye hoja tofauti usizozipenda.....

Nina hakika hujawahi kusoma kitabu kiitwacho UP...

Ungekuwa unaujua uwezo adimu aliopewa marehemu Elias wala usingebwata hapa....

Leo hii dunia nzima inaamini ya kwamba watu wanaosoma fani hizi mbili,wana uwezo wa kipekee kuliko WENGINE....
1.Medicine
2.Law

Hujiulizi kwanini wanaamini hivyo?!!!

Jibu...

Ni"ARTS" inazohitaji uwezo mkubwa wa IMAGINATION na "kukariri" UNAKOKUBEZA....

Kalaghabaho!!
Law and Medicine ni preferences.. what my heart desires.. naweza pia kupenda ushairi..kama Shaban Robert! Na nikawa bora sana maana akili na maarifa nimeyainvest huko!

Kwingine kote umesema vema!

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
impact yake ni kumbwa kuliko others TO labla TO mwingine ambaye ana impacts ni @joelnanauka.

kitu pekee alichokifanya ni kufanya maelfu ya watanzania wenye ndoto ya kusoma physics na kufanya vizuri kutimiza ndoto yao.

hivyo ilo tu linamfanya awe awe tofauti , ukiachana na record ya matokeo yake ambayo bado haijavunjwa.

pili u genious wake upo kwenye nini yeye alifahamu ...... Elimu na kuhamisha knowledge, na alifanikiwa sana...

kama ujuavyo elimu ni huduma na ualimu ni wito, na si ualimu tu bali wenye matokeo chanya.

Tunajifunia wahandisi, madactari, na wengine wanasayansi kutoka kwenye mikono yake ikumbukwe jamaa hakuwai kuajiriwa nikiwepo mimi mwenyewe.

Ameandika vitabu vya physics vitakavyo kuwa vikitumika vizazi na vizazi....siwezi sema ana umri mkubwa labla chini ya 40hv, but tunajivunia maisha ya mwamba
Joel nae ni TO wa mwaka gani na kwa mchepuo upi huyu jamaa
 
Mimi mwaka 2000 nlipata A katika masomo yote matatu ya PCM. kifupi ni kuwa O- Level nilikuwa na B moja tu ya Kiswahili. A- level nikasimamisha misonge masomo yote.

Nilipokuwa Chuo UDSM. nliishi maisha ya manyanyaso sana toka kwa lectures pale Udsm. Nlinyanyasika sana. Mitihani yangu ikawa inasahishwa kwa umakini mkubwa kunitafutia makosa.

Semister ya kwanza nlikuwa na GPA ya 4.9 na pili 4.9

Mwaka wa pili semister ya kwanza 4.9 ya pili 4.8 walimu wakaanza kuwa na nongwa hasa kwa kuwa nlikuwa naonekana sometimes kuwarekebisha wanapokuwa wanafundisha. Nlikuwa mara nyingi napendekeza njia rahisi za ku solve maswali.

Nlidisco ktk mazingira ya kushangaza sana. Kesi yangu ilienda mbele za watu ambao baadaye wengine walikuja omba msamaha. Namkumbuka Prof mmoja ambaye alikuja gombea urais miaka ya nyuma huyu ndo alikuwa akinipambania na kunitia moyo. Huyu aliniwezesha kurudi tena chuo after 4 years. Nlianza na GPA ya 4.7 nikawa napanda.mpaka nimemaliza Chuo nlikuwa na GPA ya 4.8 nenda kawaulize Coet watakupa habari zangu.

Ndo kisa cha wadau kuniita Chizi Maarifa. Mimi nlikuwa napiga vipindi wanachuo wa masters wanakuja kwangu Hall 4 niwape shule.

Nitawasimulia mambo makubwa kwenye uzi wangu. Ila kuna details ntaficha sababu za kiusalama.
Siku zote sijawahi kuamini sifa za kujisifia mwenyewe hii ni chai kabisa eti sababu za kiusalamu go to hell
 
Back
Top Bottom