Ni kweli kabisa usemalo aisee kiwatengu! Hiki kifo kimenistua sana kama siku ile nilipofiwa na baba yangu mzazi mwaka 1996. Kwa muda mrefu nilikuwa namchukulia N. Mandela kama baba yangu na baba wa waafrika wote!its like nimekufa nae...
just say rest in peace to us..
R.I.P Nelson Mandela