luckyline
JF-Expert Member
- Aug 29, 2014
- 15,153
- 21,798
1.WASUKUMA:
Hawa ni madem tuseme tu blackbeauty yaani mademu wana ngozi smooth ya
kupendeza sana lakini niweusi kama mkaa but mimi huwapendea one thing.
Demu msukuma akikupenda amekupenda for real ("Eti" walivyo mabwegge
washaanza kusmile aaaiii..!) Hawa ni mademu hawapendi usafi, sufuria ya
kupika chakula ndio wanaoshea nguo ndio wanaogea .na pia kufulia chupi
zao. Figure ni nzuri sana sauti poa kama ya rihana lakini tabia ni
mbovu.
2.WARANGI
Hawa ni mademu wengine wasupuu sana yaani hawa ndio mungu alicopy paste
the real image yake akawapa yaani mademu wameiva poa, rangi ya mtume
figure nzuri lakini ni wafupi, shida moja tu, wao ni washamba sana
wamelogewa kazi za bar.
3.WABENA
Mademu wana sura middle body, figure nzuri lakini ngozi ngumu kama ya
ngamia shida ingine ni kuiga iga kama wachina ushamba nao ni asili yao
asipofanya kazi ya ndani kwake maisha ni bado.
4.WACHAGA
Hawa ni madem wanajua maisha ni nini yaani madem wako na bidii sana
lakini shida ni wezi!!! sura wako poa sana,body figure aina shape yaani
yao wengi ni flat screen na pia ziko shapeless.
5.WANYAKYUSA
Hawa ni mademu wana tabia nzuri yaani mademu watulivu but shida ni sura
aipo sura haiko, body na figure iko D ni watu wako hardworking sana
ushamba pia upo kwa wingi hupenda Kujivunia kuwa washamba.
6.WAZARAMO
Tunajua nyinyi mnajua kupika poa sana, watoto wazuri wameiva lakini
matusi yanashinda akili zenu na uvivu yaani demu ameiva lakini akikutusi
unafeel tu kumlima makofi kazi yao kubwa kupaka rangi kucha.
7.WAZIGUA
Mademu wasupuu kama mtoto wa Kagame figure poa lakini shida ni
kimbelembele na makelele sjui ni nani aliwafunza kulia kisanii kwenye
misiba pia mna hasira za kishenzi na utoto mwingi na kujiona eti
mnajuuuwa, kumbe hewa tu.
Asante na matusi nishazoea ila ukweli tutawaeleza tu.
wasukuma kufulia nguo kwenye sufuri la kupikia hujadanganya yaan nishaona mwenyewe. na no 4 ya wachaga nikweli tho si wote.