Research ya wasichana wa Tanzania

Research ya wasichana wa Tanzania

Kibo10

JF-Expert Member
Joined
Aug 20, 2013
Posts
11,278
Reaction score
8,868
1.WASUKUMA:
Hawa ni madem tuseme tu blackbeauty yaani mademu wana ngozi smooth ya kupendeza sana lakini niweusi kama mkaa but mimi huwapendea one thing. Demu msukuma akikupenda amekupenda for real ("Eti" walivyo mabwegge washaanza kusmile aaaiii..!) Hawa ni mademu hawapendi usafi, sufuria ya kupika chakula ndio wanaoshea nguo ndio wanaogea .na pia kufulia chupi zao. Figure ni nzuri sana sauti poa kama ya rihana lakini tabia ni mbovu.

2.WARANGI
Hawa ni mademu wengine wasupuu sana yaani hawa ndio mungu alicopy paste the real image yake akawapa yaani mademu wameiva poa, rangi ya mtume figure nzuri lakini ni wafupi, shida moja tu, wao ni washamba sana wamelogewa kazi za bar.

3.WABENA
Mademu wana sura middle body, figure nzuri lakini ngozi ngumu kama ya ngamia shida ingine ni kuiga iga kama wachina ushamba nao ni asili yao asipofanya kazi ya ndani kwake maisha ni bado.

4.WACHAGA
Hawa ni madem wanajua maisha ni nini yaani madem wako na bidii sana lakini shida ni wezi!!! sura wako poa sana,body figure aina shape yaani yao wengi ni flat screen na pia ziko shapeless.

5.WANYAKYUSA
Hawa ni mademu wana tabia nzuri yaani mademu watulivu but shida ni sura aipo sura haiko, body na figure iko D ni watu wako hardworking sana ushamba pia upo kwa wingi hupenda Kujivunia kuwa washamba.

6.WAZARAMO
Tunajua nyinyi mnajua kupika poa sana, watoto wazuri wameiva lakini matusi yanashinda akili zenu na uvivu yaani demu ameiva lakini akikutusi unafeel tu kumlima makofi kazi yao kubwa kupaka rangi kucha.

7.WAZIGUA
Mademu wasupuu kama mtoto wa Kagame figure poa lakini shida ni kimbelembele na makelele sjui ni nani aliwafunza kulia kisanii kwenye misiba pia mna hasira za kishenzi na utoto mwingi na kujiona eti mnajuuuwa, kumbe hewa tu.

Asante na matusi nishazoea ila ukweli tutawaeleza tu.
 
Ukifika kwa mkurya uniite..

Bila shaka atatia fora.
 
Nilikua nadhani ametaja wananiliu.... niliandaa bomu la nyuklia ngoja nikarudishe bom kwa mtoto wa Osama... nilikua nimeazima.

Hahahahaaa...we binti shenz taip umenifanya nicheke kwa nguvu mbele ya watu
 
Sukuma umewasingizia kwenye uchafu. Hyo sifa peleka kwa wagogo bana. Msukuma msafi ila anadharau yaani ni masikini jeuri anaishi nyumba ya tope lakini kwenye kuvaa humkamati.
 
Ukifika kwa mkurya uniite..

Bila shaka atatia fora.

1.wapole
2.wanapenda (kudundwa)
3.wana akili sana
4.wavumilivu
5.awajui kupika....
Fasion kwao ni anasa kubwa yaaani bado ni vikoro koro flani hivi!
 
Back
Top Bottom