Umewaacha Waangaza na kina nshomile bashaija.
Vp kuhusu kuruka ukuta mkuu?? Nasikia wazenji ni maabingwa..!
hatuna kawaida hiyo msituharibie sifa kwa kusoma tabia ya mtu mmoja.
kwan tanzania kuna makabil mangapi? maan haya mengin ndo kwanz nayaskia
hawatumii zaidi ya wanachoingiza, 2) wanaheshimu akiba za waume zao kiasi kwamba mwanamke wa Kikinga yupo tayari kufa na njaa lakini asiguse akiba ya mme wake.....uchawi na ushirikina ndio dini yao kubwa...wana nidhamu kubwa mno ya matumizi ndio maana wengi wamebatizwa jina la "mabahiri" ila ni mazuzu wa ngono wakikunwa vizuri mwamke wa kikinga kuhonga hela ya bure bure ni kawaida sana ushamba ni asili yao pia!