Reposted: huyu ni baba

Kakosea sana kulipuka mbele ya mtoto.

Kuna mshikaji alikuwa anauza na kuchoma humo humo ndani. Alikuwa na mtoto mdogo wa mwaka na miezi kadhaa, ikatokea mke wake kaenda kwako, huwezi amini mtoto alikuwa mnyonge kama mgonjwa. Siku wamerudi Dar, baada ya baba yake kujilipua chumbani, unaambiwa mtoto alipona ghafla na kuchangamka kupita kiasi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…