Ni kwajili ya wasioonan na hiyo ni inter standard code na watengeneza simu wote wanatumia kwenye simu zao, ukiona yako haina jua fake. Hakuna kiwanda makini kinaweza tengeneza simu bila hiyo maneno
Hata kwenye keyboard za kompyuta alama hizo zipo kwenye herufu F na J
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.