"Tanzania back to God", kizazi cha jiwe huwezi jua.!Ni mhubiri wa wapi
Kweli mkuu kikubwa ni kuangalia namna gani Unamaliza mwendo vema.Kila mtu atapita njia hiyo.
Poleni sana mkuuNa sisi tuna msiba wa mdogo wake Kanumba.
Tunamajonzi yetu.
Namkumbuka huyu jamaa pale UNGA LIMITED mwaka 1996, ULIKUWA UKITOKA KWENYE MAHUBIRI YAKE UNASEMA SIFANYI DHAMBI TENA
Ambao tumezaliwa 95 kwenda juu?Ni mmishionari wa kijerumani alinza kuja Afrika miaka ya1967
Kama umezaliwa 95
kushuka chini huwezi mjua huyu labda uwe/ ulikua ni mfuatiliaji wa wahuburi
Kweli wewe bahariaAchana na mahubiri jamaa alikuwa na bonge la steji kitambo icho anatembea nalo kwenye roli kubwa dah alifika pale dodoma uwanja wa barafu,nikaokoka alivyoondoka nikawa kama mwanzo,, 1997
Mimi nukumbuka Bonke alivyokuja niliokoka kwa week 3 hivi alafu baada ya hapo nikaendelea na shuhuli zangu za ujenzi wa taifa.Achana na mahubiri jamaa alikuwa na bonge la steji kitambo icho anatembea nalo kwenye roli kubwa dah alifika pale dodoma uwanja wa barafu,nikaokoka alivyoondoka nikawa kama mwanzo,, 1997
Ninapoona vifo vya watu kama Bonke !!. Najua sote tutaondoka hata wale watesi wa wenzao nao wataondoka.PUMZIKA KWA AMANI BABA INJILI UMEIMWAGA MBINGU ZIMETAMBUA YESU N BWANAView attachment 1284981
View attachment 1284982