Chapa Nalo Jr
JF-Expert Member
- Dec 8, 2010
- 7,521
- 6,517
Tafadhalini wandugu; nimekuwa mteja wa machangudoa kwa muda mrefu hadi nimepoteza zile mbinu za kumkabili msichana anayejishemu ili nimtongoze, kule kwa machangu ni kuuliza bei na si kutongoza.
Sasa nimechoka na machangu, kwani kwa machangu hukuna Mapenzi bali kuna Ngono, ila uzuri wa machangu condom ni lazima.
Sasa napata taabu jinsi ya kutongoza msichana wa kuwa mpenzi wangu maana zile mbinu kwishney, naashiwa kuliwa tu hela kwenye appointment bila kurusha neno la kumtaka, please nifanyeje?
In the alternative, kama kuna msichana wa kujitolea awe wangu tafadhali namuomba. Sifa, wowowo ni muhimu (sio lile kubwa saaana), mwembamba sana hapana, asiwe mweupe sana au mweusi sana, mengine yatajipa hukohuko.
Sasa nimechoka na machangu, kwani kwa machangu hukuna Mapenzi bali kuna Ngono, ila uzuri wa machangu condom ni lazima.
Sasa napata taabu jinsi ya kutongoza msichana wa kuwa mpenzi wangu maana zile mbinu kwishney, naashiwa kuliwa tu hela kwenye appointment bila kurusha neno la kumtaka, please nifanyeje?
In the alternative, kama kuna msichana wa kujitolea awe wangu tafadhali namuomba. Sifa, wowowo ni muhimu (sio lile kubwa saaana), mwembamba sana hapana, asiwe mweupe sana au mweusi sana, mengine yatajipa hukohuko.