Neylu
JF-Expert Member
- May 28, 2012
- 2,938
- 1,847
Hapo bold, yaani hata la kichina!
Wee kweli hinitakii mema..! Kisa cha kuji atifishalaizi?
Kama hutaki wa kupigwa pasi baasi..!
Nitampata atakayenipenda na hili pasi langu..!
Hapo bold, yaani hata la kichina!
Wee kweli hinitakii mema..! Kisa cha kuji atifishalaizi?
Kama hutaki wa kupigwa pasi baasi..!
Nitampata atakayenipenda na hili pasi langu..!
Baaasi Basi mama yaishe, naamini kila mtu Mungu kamuumbia wa kwake, nawe unaye wako, hata mimi pia
Tatizo ulilonalo nilikua nalo miaka 2 iliyopita yaani mimi kama wewe zangu ni machangudoa hakuna sehemu sijaenda kuanzia kinondoni makaburini, ambiance sinza, kimboka buguruni,makumbusho ,komakoma mwananyamala,shivacom arusha, nikiwa nimefulia naenda hata kambi ya fisi manzese kule ni buku mbili tu...
Taratibu nilianza kuchukua hicho kitendo nikaacha ila kampan nayo huchangia koz ili ujue sehemu zote hapo juu mmmmhhh si mchezo
amua utaweza
Pia huyu si raia wema kama wale wengine, kama mdau amegundua hilo kwanini asi-identify changu mmoja na kumpa ushauri mzuri waache kwa pamoja na kuwa mwili mmoja, yote yanawezekana tu kwani kuwa changu si kwamba hawezi kubadilika na kuwa raia mwema kama wengine (tatizo kwa mwanaume kisaikolojia anabalki demu alikuwa changu lakini kiukweli ladha yake inakuwa sawa tu na wengine ambao hawakuwa machangu)
Natamani kukubaliana na wewe lakini nasita kidogo. Nimesikia na kuamani kuwa changu anaweza kudo na watu hadi watatu katika masaa 12, yaani mwanamume mmoja kila baada ya masaa manne. Na ninadhani inawezekana kwa sababu yamatumizi ya kondom kwa kuwa anatoka msafi.
Now. Nataka kusema nini? Msichana au Mwanamke mwenye sifa hii nadhani anastahili jina la Malaya (Note: kuna wanaume malaya pia). Kwa kiingereza tabia hii inaitwa promiscuity. Nadhani mtakumbuka kuna mtu aliwahi kusema utafiti unaonesha Promiscuity miongoni mwa binadamu ni tabia ya kurithi.
Simshauri mtu yeyote kutafuta kumuona mtu mwenye promiscuity. Hii tabia inaweza kuwa ni kilema cha kurithi.
Duuh itabidi aingie mtaani sasa aondoe mshipa wa noma atapata tu mrembo wa kumweka ndani