L004
JF-Expert Member
- Oct 30, 2017
- 200
- 182
Regulations mpya za CHUO KIKUU CHA DODOMA zinatisha kiasi kwamba zinaweza kusababisha vijana wengi kurudi nyumbani, hivi sasa mwanafunzi kama hajafikisha coursework ya 16 (college zingine) na 25 (college ya Health sciences) hawatafanya mtihani wa somo husika hivyo itamfanya liwe carry, na nyingine soma hapo kwa attachment (highlighted)