Shikamoni wakubwa, kama kawaida yetu naomba msaada fasta computer kabla haijazima, nilikuwa naregister TCU kuna sehemu imeandikwa voucher naomba kujua unajaza nini. Nimehisi ni hela je unalipa kwa mpesa kama HESLB?
umekimbilia tu kujaza form umesoma guidebook kweli? ukikosea umlaumu nani? muwe mnasosma instructions kwanza.... Kadi unanunua benki ila cjui benki gani kati ya crdb au nbc umesikia kuwa serious
nimesikia kaka kesho ngoja niende mlimani city kununua hiyo kadi au kuna mtu anauza humu nimtumie hela kwa mpesa?