E. J. Magarinza
Member
- Jan 13, 2011
- 37
- 10
Napendekeza First Lady na team yake sasa waanze kukata anga na wafike kila kijiji cha nchi hii hasa akianza na Dodoma, Singida, Manyara na Umasaini kote.
Dah.......huyu Mama anazidisha kura za LOWASA, hili halina mjadala.....nakumbuka kauli ya Eddy Griffin yule comedian wa Mmarekani alisema kwenye moja ya show zake kuwa alivote kwa Obama sababu Michelle, ndio ninachoona kinakwenda kutokea hapa Bongo.
Mama anatia hamasa ya sisi kumfanya first lady ajae.
Watanzania tutajutia sana kama tusipompeleka huyu mama Ikulu.... Kwa miaka 10 WAMA haijafanya lolote zaidi ya kupiga pesa za wafadhili wa ulaya...
Safari hii tupeleke firts lady atakayeweza kuungana na wanawake wenzake katika mapambano ya maendeleo
Labda mumpeleke kwenye ikulu ya chifu mangungoWatanzania tutajutia sana kama tusipompeleka huyu mama Ikulu.... Kwa miaka 10 WAMA haijafanya lolote zaidi ya kupiga pesa za wafadhili wa ulaya...
Safari hii tupeleke firts lady atakayeweza kuungana na wanawake wenzake katika mapambano ya maendeleo
tutalaniwa kumpeleka mtu asiyeweza kuisimamia taasisi ya familia vema. haiwezekani kila siku tunaambiwa ana mke mmoja na watoto kadhaa as if hawajulikani.
first lady mwenyewe hana mpango hata wa kuitafta u first lady.
ukimpa mtu asiye na mke, ikulu itakuwa danguro
Ndoa si kipimo cha rais bora. mbona kuna marais wa nchi kubwa duniani lkn hawajawahi hata kuoa na wala hawana mpango na nchi zao bado zina maendeleo makubwa. Usidanganye watu bhana!
First lady mtarajiwa? wa nchi gani? naomba kufahamishwa plz