Dah.......huyu Mama anazidisha kura za LOWASA, hili halina mjadala.....nakumbuka kauli ya Eddy Griffin yule comedian wa Mmarekani alisema kwenye moja ya show zake kuwa alivote kwa Obama sababu Michelle, ndio ninachoona kinakwenda kutokea hapa Bongo.
Mama anatia hamasa ya sisi kumfanya first lady ajae.
Mkuu moyo ukiwa na amani ndani huzeeki, umri unaenda lkn bado unanawiri.....si unamuona hata Mzee Lowasa na jinsi wananchi walivyompokea kwa furaha na moyo wa imani naiona kabisa hii familia ikienda kuwatumia wananchi ipasavyo.
Sokoine karudi kwa style nyingine........
tutalaniwa kumpeleka mtu asiyeweza kuisimamia taasisi ya familia vema. haiwezekani kila siku tunaambiwa ana mke mmoja na watoto kadhaa as if hawajulikani.
first lady mwenyewe hana mpango hata wa kuitafta u first lady.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.