...sauti ya wengi, sauti ya Mungu, they say.
Ombi: tafadhali mshauri Mengi afanye km ww apo kwny 100,000/mwez kwa ndugu yetu mlemavu. Natumain kitamsaidia kuanzisha income ya kudumu aondoke kwny utegemez.
Kile chakula cha Mengi cha mara moja kwa mwaka ni wazo zuri, na compassion tukuka. Lkn natamani kingekua na kitu endelevu (sustainable). Awawezeshe kutafuta icho chakula... Even if its a few at a time. Remember that sayin....Don't give fish to a man, teach him how...? Otherwise, God Bless!
Pole sana dada,hizo ndiyo changamoto za JF!!Ombi gani tena?unataka kadi ya CHADEMA?
Hivi angekuwa sio mmbunge ungeuliza hili swali?
Regia Mungu akubariki ubakie ulivyo( mwenye upendo, usikivu, heshim,ukarimu, uadilifu na ucha Mungu)
nakuahidi sala zangu Mungu akulinde na akubariki ktk adma yako ya kutumikia wananchi.