Msiba Mkubwa sana! R.I.P. Kamanda umetangulia mbele ya haki. Jf Arusha kupitia kwa Mzee wa Rula fanyeni hima kuhamasisha michango ya rambirambi ikusanywe mapema iwezekanavyo.
Bado itanichukua muda mrefu kukubalina na huu ukweli. Sura inanijia machoni kila nikimkumbuka. Siku tuliyokaa nae alipokuja Arusha hainitoki akilini. Story na ucheshi wake unanirudiarudia kila ninapoziona thread zinazomuhuzu.
Kweli huu msiba umeniumiza sana. Nashindwa hata kupost kwenye baadhi ya thread maana akili haijakubaliana na habari za msiba huu! Napata shida sana ndugu zangu. Ni basi tu!
Raha ya milele umpe ee Bwana, na mwanga wa milele umwangazie, apumzike kwaamani, amina!
Roho ya marehemu ipate rehema kwa Mungu, apumzike kwa aman, amina!
R.I.P Regia mtema.pls I confirm to attend.I hope to be in moro tomorrow from simanjiro where I have postponed my trip to attend the burial of our beloved Regia.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.