VUTA-NKUVUTE
JF-Expert Member
- Nov 25, 2010
- 6,140
- 18,004
Regia Mtema bado anaishi kifikra katika siasa za Morogoro. Pamoja na ulemavu aliokuwa nao, Regia anatajwa Morogoro nzima kama mpambanaji, mjenzi wa hoja na demokrasia na mpinzani wa kweli. Regia Mtema ni kinara wa mabadiliko ya kidemokrasia Morogoro.
Ameacha mizizi. Kuanzia Kilosa hadi Ulanga zote; Morogoro Mjini na majimbo mengineyo,Regia ameacha mbegu za upinzani. Ana wafuasi sasa watunyimao usingizi Morogoro.
Kuhusu Pwani, yatosha kusema bado yetu. Pwani wanatupenda,nasi twawapenda. Hakuna matata Pwani.
Mzee Tupatupa wa Lumumba, Dar es Salaam
Ameacha mizizi. Kuanzia Kilosa hadi Ulanga zote; Morogoro Mjini na majimbo mengineyo,Regia ameacha mbegu za upinzani. Ana wafuasi sasa watunyimao usingizi Morogoro.
Kuhusu Pwani, yatosha kusema bado yetu. Pwani wanatupenda,nasi twawapenda. Hakuna matata Pwani.
Mzee Tupatupa wa Lumumba, Dar es Salaam