BABA E's
JF-Expert Member
- Dec 25, 2012
- 354
- 136
Mnaeza mkawa mmezidiwa sana na idadi ya wagonjwa, lakini isiwe sababu ya kutokea kwa uzembe wa hatari ambao unaweza ukahatarisha maisha ya watu. Kumekuwa na mchezo wa siku nyingi kwenye maabara yenu wa kuchanganya majibu ya watu. Inaumiza na kuuzi sana kuambiwa hauumwi kisha kujiondokea zako kumbe ugonjwa upo na unaendelea kukutafuna zaidi mpaka hali inakuwa mbaya sana kisa umepewa majibu ambayo siyo ya kwako.
Natumaini kupitia mtandao huu ujumbe utafika.
Jirekebisheni Tafadhali.
Natumaini kupitia mtandao huu ujumbe utafika.
Jirekebisheni Tafadhali.