Kiranja Mkuu
JF-Expert Member
- Feb 18, 2010
- 4,066
- 4,085
Nimeisikia hii aina mpya ya matibabu, nasikia kwamba wanatibu kwa kugusa baadhi tu ya sehemu za mwili.
Naomba anayefahamu sehemu yoyote Dar ninayoweza kupata tiba hii anisaidie
Naomba anayefahamu sehemu yoyote Dar ninayoweza kupata tiba hii anisaidie