Smiles
JF-Expert Member
- Aug 24, 2009
- 1,231
- 107
Nimekuwa nakwera na topics za kipuuzi humu. Ila leo mmenichekesha sana baadhi yenu mmekuwa wachangiaji wakubwa wa topics hizo lakini leo mnajifanya kuponda, WANAFIKI wakubwa nyie. Namshukuru Teamo kwa kutokuwa mnafiki na mkimbia kivuli chake. MMU itakuwa salama tu baadhi yenu mkiacha unafiki na ufedhuli
Aisee those are very serious accusations....