TIMING
JF-Expert Member
- Apr 12, 2008
- 27,404
- 14,733
Wanajamvi, mimi ni mdau mkubwa sana wa hili jukwaa na leo baada ya kupata utakaso kidogo nimejiuliza maswali mengi sana kuhusu nini hasa nia ya kujumuika pamoja jamvini... Nikakumbuka shule za Shy, safari za mbugani, vikao vya jioni nasaha za akina MJ1, BHT, PJ WOS, FL1 Mbu, Balantanda, nk. pia nikaanza kupata smile ya ajabu nikisoma the happiness the wapwaz, nephews nk wanazonipa kila siku. sisahau NN, JS, Pearl, Boss, Nguli etchapo sijagusa DC, Mchungaji Masa, retired comedian asprin, geoff, newcomer finest, washkaji akina rr, next level, BE, vivan, lizy, preta, lilyflower, baba desi na wengine wengi wasiosemekea
Lakini kuna kitu naomba niseme, tumekua kama tunaanza kwenda kwenye jukwaa la wakubwa kwa sana (na mimi ni mmoja wao)... this may not be the best for this jamvi... can we do something? mfano mdogo sana ni mtu kama huyu hapa chini juzi kaja na issue ya tIGO, tunakichangia na kuomba iende lile jukwaa letu la over 18, leo kaweka nyingine
wakati naperuzi, nikakuta kwamba mmoja warning tayari kutoka kwa mdau
its a valid one
Nimeona wa Arusha wameanza vizuri sana na shukrani kubwa kwa kamanda PJ na majenerali wake kwa kutukumbusha
Je, are we heading to the wrong direction?
Je jukwaa la wkubwa ni sawa na MMU?
Is there anything we can change for the better
or we like it likt it is now?
Nawasilisha na kaujumbe ka invisible kaliko kwenye signature yake vilevile
Ficha Upumbavu wako; Usiifiche Hekima yako!
Thank you for supporting JF! <---(click to support us)
Waliochangia 2010: <--- (click to read)
JINSI YA KUCHANGIA JF<---(click to read)
:coffee:
24/7 Email SUPPORT: support@jamiiforums.com
Lakini kuna kitu naomba niseme, tumekua kama tunaanza kwenda kwenye jukwaa la wakubwa kwa sana (na mimi ni mmoja wao)... this may not be the best for this jamvi... can we do something? mfano mdogo sana ni mtu kama huyu hapa chini juzi kaja na issue ya tIGO, tunakichangia na kuomba iende lile jukwaa letu la over 18, leo kaweka nyingine
Mimi naishi na wazazi wangu hivyo muda wa kumegwa naona kama hautoshi. Huwa napenda kila siku nifanye mapenzi hiyo ndo hobby yangu.
Sifa za mume.
1. Awe na uume mkubwa na mrefu ili nitosheke
2. Awe na uwezo wa kunipiga angalau bao 2 (kama mgonjwa nitavumilia)
3. Asiwe na kipato kikubwa kwani hao wanasumbua, wanakua busy atasababisha nitoke nje ya ndoa.
4. Akubali tuwe tunaishi wenyewe tu kwani huwa nina makelele sana wakati wa kufanya mapenzi.
Mimi nimesoma hivyo naamini nitapata kazi nzuri na tuta enjoy maisha na mume wangu
Karibu
wakati naperuzi, nikakuta kwamba mmoja warning tayari kutoka kwa mdau
We are witnessing the downward spiral toward the end of MMU
its a valid one
Nimeona wa Arusha wameanza vizuri sana na shukrani kubwa kwa kamanda PJ na majenerali wake kwa kutukumbusha
Je, are we heading to the wrong direction?
Je jukwaa la wkubwa ni sawa na MMU?
Is there anything we can change for the better
or we like it likt it is now?
Nawasilisha na kaujumbe ka invisible kaliko kwenye signature yake vilevile
Ficha Upumbavu wako; Usiifiche Hekima yako!
Thank you for supporting JF! <---(click to support us)
Waliochangia 2010: <--- (click to read)
JINSI YA KUCHANGIA JF<---(click to read)
:coffee:
24/7 Email SUPPORT: support@jamiiforums.com