Redio ya Upendo, nimewashangaa kwa hili

Redio ya Upendo, nimewashangaa kwa hili

Asante sana. Unayo yasema ni kweli kabisa.Niliiona video ya askofu anavyovunja amri ya sita, inasikitisha sana. Nilikuwa sijawahi kumwona kwa macho askofu huyo wa KKKT bali kwenye video hiyo chafu tu. Na siku nilipo muona kwa macho nikamtambua bila ya introduction.

Video niliyoiona ni ya ukweli na sio ya kutengeneza. Nia ya aliye inasa anasema ni kwa ajili ya kufichua uchafu wake na kujiuliza kuwa ni wangapi wameangukia mikononi mwao.

Askofu huyo akiubiri utadhani ni wa kweli, kumbe mageresha tu.
Makubwa ni mchungaji au ni asikofu kwani kuna mchungaji mmoja wa KKKT kanisa lake linajaa pomoni lakini ni mzinziwa kutupa na anasema wazi wazi kwamba akihamishwa na askofu wake anaanzisha kanisa lake.Na ana jeuri ya kutupa
 
Ukiona hivyo huyo anayehubiriwa siyo Mungu Yehova, Baba wa Bwana wetu Yesu Kristo. Hata mimi huwa nashangaa sana mahubiri ya namna hiyo. Siku fulani niliabudu kanisa fulani, mchungaji aliyehubiri hakutaja jina Yesu Kristo hata mara moja kwa muda wote (almost 2 hours) aliosimama madhabahuni kuhubiri. Hakukemea dhambi wala kutaja neno dhambi. Hakika wana wa Mungu tumevamiwa, tuwe macho hizi ni nyakati za mwisho!
Kwahiyo yesu kumbe ndie jehova pia?
 
Kwahiyo yesu kumbe ndie jehova pia?

Soma
Yohana 1: 1 na 14, "1 Hapo mwanzo, kabla ya kuwapo kitu kingine cho chote, aliku wapo Neno. Huyo Neno alikuwa pamoja na Mungu, naye alikuwa Mungu. [SUP]2 [/SUP]Tangu mwanzo Neno amekuwa na Mungu. [SUP]3 [/SUP]Vitu vyote viliumbwa na yeye, wala hakuna cho chote kilichoumbwa ambacho hakukiumba...


Kama utakuwa na maswali zaidi, soma Biblia kwa msaada wa ROHO WA MUNGU
 
Kama waona mafundisho hayakupendezi basi kamata mic na wewe
 
Soma
Yohana 1: 1 na 14, “1 Hapo mwanzo, kabla ya kuwapo kitu kingine cho chote, aliku wapo Neno. Huyo Neno alikuwa pamoja na Mungu, naye alikuwa Mungu. [SUP]2 [/SUP]Tangu mwanzo Neno amekuwa na Mungu. [SUP]3 [/SUP]Vitu vyote viliumbwa na yeye, wala hakuna cho chote kilichoumbwa ambacho hakukiumba...


Kama utakuwa na maswali zaidi, soma Biblia kwa msaada wa ROHO WA MUNGU
Utakua hujajibu swali mkuu.ila nisikupressure sana,kila mtu anaamini kivyake.
 
Hapo ndipo mnaponifanye nijitengenee Ukristo wangu ....kumwogopa MUNGU BASI .TUNA UHAKIKA KUWA VITABU VINGINE VINA CONNECTION NA KRISTO , TULIACHA DINI ZETU BURE!
Unamaanisha Apocripha Gospels...?Mkuu kwanza siyo injili 12 bali ni 24...injili zilikuwa 24 ila zilizpchaguliwa katika Mtaguso wa effeso zilikuwa ni 4...Sababu za kuchaguliwa kwa injili hizo zipo wazi na kwann zingine ziachwe zipo wazi..

Na pia sio injili tuu bali kuna vitabu kedekede vilipigwa teke na Kanisa....Vitabu vya Ufunuo vilikuwa vingi tuu ila vyote vilipigwa teke na Ufunuo wa Yohana ukapata nafasi...Pia kunasababuzake za kitheologia na kihistoria..
pia kulikuwa na barua ya Tatu ta Mt Paulo kwa Wakorinto...Pia ilipigwa teke na kuwekwa kapuni...Ila vyote hivo vitabu vipo maktab ya Vatican..

sababu ya moja kwa moja ilikuwa vitabu hivyo vilijaa uzushi mwingi na vilikosa Theological connection na maisha ya kristo
 
Tehehehehehehehe ! kama namfahamu vile ,sio MA....! basi , kama ni yeye wamempa cheo bandia amehama ,na idadi ya waumini inapungua polepole ! siku hizi hata ukienda kanisani saa 1:20 asubuhi unapata pa kukaa ,Enzi zake miezi 8 iliyopita kanisa liluwa lina jaa saa 12:30 asubuhi ! Shalom!
Makubwa ni mchungaji au ni asikofu kwani kuna mchungaji mmoja wa KKKT kanisa lake linajaa pomoni lakini ni mzinziwa kutupa na anasema wazi wazi kwamba akihamishwa na askofu wake anaanzisha kanisa lake.Na ana jeuri ya kutupa
 
Hapo ndipo mnaponifanye nijitengenee Ukristo wangu ....kumwogopa MUNGU BASI .TUNA UHAKIKA KUWA VITABU VINGINE VINA CONNECTION NA KRISTO , TULIACHA DINI ZETU BURE!

Sasa ndugu yangu kwa Mfano kuna Injili ya Maria Magdalene...Injili hiyo inasema Yesu alioa na ana mke na mtoto...Inaendelea kusema kuwa Yesu alimuoa Maria magdlane...Sasa mkuu uzushi huo ndio ulifanya Injili hiyo ipigwe teke...Any way kuna njia mbalimbali zilipitiwa na wataalamu wa maandiko na kufikia uamuzi huo...

Mkuu mfano Injili ya Barnaba inadai Yesu hakuwa Mungu na Yesu alioa...Injili hiyo inapendwa sana na waoslamu..hivi kweli na wewe utaamini uzushi huo...??

Injili lengo lake lilikuwa ni kufikishaujumbe au kusudio lililo mleta Yesu Duniani...Sasa hizo injili zilikuwa za kishabiki, kusifia, kuonesha Yesu jinsi alivyokuwa akitembea, akila,...Hebu tazama mambo hayo yote, kweli yana mantiki na ujio wake...

Kulikuwa na Injili ya utoto wa Yesu...the Gospel of nativity...Injili hii ilikuwa inaonesha jinsi Yesu alipokuwa mdogo alikuwa akiwasaidia wenzake wasipigwe na wazazi wao pindi wachelewapo nyumbani, alikuwa anawaokoa wenzake na watoto wakorofi...Hebu tazama kweli..hayo hayakupaswa kuwepo maana yamekaaa kishabiki..hayana mantiki...
 
Asante sana. Unayo yasema ni kweli kabisa.Niliiona video ya askofu anavyovunja amri ya sita, inasikitisha sana. Nilikuwa sijawahi kumwona kwa macho askofu huyo wa KKKT bali kwenye video hiyo chafu tu. Na siku nilipo muona kwa macho nikamtambua bila ya introduction.

Video niliyoiona ni ya ukweli na sio ya kutengeneza. Nia ya aliye inasa anasema ni kwa ajili ya kufichua uchafu wake na kujiuliza kuwa ni wangapi wameangukia mikononi mwao.

Askofu huyo akiubiri utadhani ni wa kweli, kumbe mageresha tu.

Askofu huyo mara ya kwanza nilimuona ITV mwaka 2005 akisema JK ni changuo la Mungu , mara ya pili kwenye hiyo video chafu.
 
Makubwa ni mchungaji au ni asikofu kwani kuna mchungaji mmoja wa KKKT kanisa lake linajaa pomoni lakini ni mzinziwa kutupa na anasema wazi wazi kwamba akihamishwa na askofu wake anaanzisha kanisa lake.Na ana jeuri ya kutupa

Aiseeee unamsemea mchungaji nani hapa yule ambae kanisa analoliongoza lina tv mpaka nje? Sitaki kuamini mbona ana upako hivyo jamani kama ni kweli basi YESU rudii basiii.
 
Sasa hapo kama ni binadamu alichagua ni vitabu gani ndi view neon la Mungu huoni kuwa ni tatizo? Je wanaoshambulia UKRISTO wanakosea ?Ina maana ni mantiki ya Kibinadamu ndio iliyo tumika kuamua kuwa haya ni maneno ya MUNGU1 Inachanganya kwa kweli ! Ndio maana kila mtu anatoa tafsiri yake ....na ni hatari Wpenda mali ,madaraka na wenye vimbelembele nao wakiingaia kwa kundi hili.
Sasa ndugu yangu kwa Mfano kuna Injili ya Maria Magdalene...Injili hiyo inasema Yesu alioa na ana mke na mtoto...Inaendelea kusema kuwa Yesu alimuoa Maria magdlane...Sasa mkuu uzushi huo ndio ulifanya Injili hiyo ipigwe teke...Any way kuna njia mbalimbali zilipitiwa na wataalamu wa maandiko na kufikia uamuzi huo...

Mkuu mfano Injili ya Barnaba inadai Yesu hakuwa Mungu na Yesu alioa...Injili hiyo inapendwa sana na waoslamu..hivi kweli na wewe utaamini uzushi huo...??

Injili lengo lake lilikuwa ni kufikishaujumbe au kusudio lililo mleta Yesu Duniani...Sasa hizo injili zilikuwa za kishabiki, kusifia, kuonesha Yesu jinsi alivyokuwa akitembea, akila,...Hebu tazama mambo hayo yote, kweli yana mantiki na ujio wake...

Kulikuwa na Injili ya utoto wa Yesu...the Gospel of nativity...Injili hii ilikuwa inaonesha jinsi Yesu alipokuwa mdogo alikuwa akiwasaidia wenzake wasipigwe na wazazi wao pindi wachelewapo nyumbani, alikuwa anawaokoa wenzake na watoto wakorofi...Hebu tazama kweli..hayo hayakupaswa kuwepo maana yamekaaa kishabiki..hayana mantiki...
 
Sasa ndugu yangu kwa Mfano kuna Injili ya Maria Magdalene...Injili hiyo inasema Yesu alioa na ana mke na mtoto...Inaendelea kusema kuwa Yesu alimuoa Maria magdlane...Sasa mkuu uzushi huo ndio ulifanya Injili hiyo ipigwe teke...Any way kuna njia mbalimbali zilipitiwa na wataalamu wa maandiko na kufikia uamuzi huo...

Mkuu mfano Injili ya Barnaba inadai Yesu hakuwa Mungu na Yesu alioa...Injili hiyo inapendwa sana na waoslamu..hivi kweli na wewe utaamini uzushi huo...??

Injili lengo lake lilikuwa ni kufikishaujumbe au kusudio lililo mleta Yesu Duniani...Sasa hizo injili zilikuwa za kishabiki, kusifia, kuonesha Yesu jinsi alivyokuwa akitembea, akila,...Hebu tazama mambo hayo yote, kweli yana mantiki na ujio wake...

Kulikuwa na Injili ya utoto wa Yesu...the Gospel of nativity...Injili hii ilikuwa inaonesha jinsi Yesu alipokuwa mdogo alikuwa akiwasaidia wenzake wasipigwe na wazazi wao pindi wachelewapo nyumbani, alikuwa anawaokoa wenzake na watoto wakorofi...Hebu tazama kweli..hayo hayakupaswa kuwepo maana yamekaaa kishabiki..hayana mantiki...

Kwani ni nini hasa maana ya neno Injiri?
 
Tehehehehehehehe ! kama namfahamu vile ,sio MA....! basi , kama ni yeye wamempa cheo bandia amehama ,na idadi ya waumini inapungua polepole ! siku hizi hata ukienda kanisani saa 1:20 asubuhi unapata pa kukaa ,Enzi zake miezi 8 iliyopita kanisa liluwa lina jaa saa 12:30 asubuhi ! Shalom!
Haya bhana mie nimekuelewa sana rafiki jamaa kahamia wapi?Yale maombi yake ya kupiga watu yaliniacha hoi.Nilishaambiwa vituko vyake na kushuhudia mwenyewe yaani ni balaah
 
Na Kuna wengine nasikia wanataja neno"Yes"badala ya Yesu kwa makusudi na hii alitoa ushuhuda dada mmoja aliyeokolewa kutoka kwenye hayo mambo ya giza kwamba huwa Ni marufuku kwa wao kutaja Yesu kwani alikuwa anaharibu kazi zao
 
Unaofaa ni upi?
Hekima ni ya bure wala hainunuliwi nayo huna nikusidieje?Kila mtu akiamua kushika mic nani atamsikiliza mwenzake?au wabunge wakichemsha ina maana wote tugombee ubunge.?
 
Leo nikiwa kwenye chombo cha usafiri nimesikia mtu anahubiri hasomi neno anaongea tu suala la msamaha jambo ambalo ni jema lakini kilichonishangaza ni huyu mtu kuwa mgumu sana kutaja jina la yesu.

Na mafundisho yake yameonesha kumtaja Mungu mfalme wa wafalme lakini Yesu na roho mtakatifu naona limekuwa gumu mno!!na akitaja anataja kiaina hebu mwenye ufahamu atujuze na sie tusio na dini tuelewe.

Ni kipindi cha saa sita hadi saa saba leo Jumatatu.

Naomba tuelimishane sina nia mbaya.

Hao ni wale waislam wanaojifanya wameokoka. Ukweli ni kwamba Viongozi wa Makanisa ya Kikristo wanatakiwa kuwa waangalifu sana kuwapokea waislam wanaokubali kubatizwa. Siyo lazima kuwapa uongozi mara wanapomkiri Yesu Kristo.
 
Amtaje Yesu kwani Yesu anasamehe dhambi mbona mnakuwa vichwa mgando kiasi hicho kila kuchapo?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom