Leo nikiwa kwenye chombo cha usafiri nimesikia mtu anahubiri hasomi neno anaongea tu suala la msamaha jambo ambalo ni jema lakini kilichonishangaza ni huyu mtu kuwa mgumu sana kutaja jina la yesu.
Na mafundisho yake yameonesha kumtaja Mungu mfalme wa wafalme lakini Yesu na roho mtakatifu naona limekuwa gumu mno!!na akitaja anataja kiaina hebu mwenye ufahamu atujuze na sie tusio na dini tuelewe.
Ni kipindi cha saa sita hadi saa saba leo Jumatatu.
Naomba tuelimishane sina nia mbaya.
Na mafundisho yake yameonesha kumtaja Mungu mfalme wa wafalme lakini Yesu na roho mtakatifu naona limekuwa gumu mno!!na akitaja anataja kiaina hebu mwenye ufahamu atujuze na sie tusio na dini tuelewe.
Ni kipindi cha saa sita hadi saa saba leo Jumatatu.
Naomba tuelimishane sina nia mbaya.