Redio Uhuru Ifungiwe Haraka kwa usalama wa Taifa!

Dr Matola PhD

JF-Expert Member
Oct 18, 2010
56,289
92,376
Ndugu zangu nimeshitushwa sana na matangazo ya Redio uhuru siku ya jumatano tarehe 2 mwezi 3 mwaka 2011, muda saa 2 mpaka saa 3 usiku. nikiwa naugulia mgao wa umeme huku nikiwa na kiredio changu cha mchina kinachotumia betri niliona nisikilize redio uhuru, kipindi kinaitwa CCM yajenga nchi mtangazaji wa kipindi ni Angel Akilimali, walianza na hotuba ya JK kujibu hoja za CHADEMA huku waki edit ile hotuba na kuweka vikorombwezo vyao, ilo sikulijali, lakini kilichonistua baadae vikakalibishwa vibibi viwili eti ni waasisi wa TANU, hapo ndipo walipoanza kumshushia matusi yasiosemeka Dr Slaa binafsi Na chadema NA wakadiliki kusema hata mabomu ya gongo la mboto ni Dr Slaa ndio ameyalipuwa. nina hakika kama redio nyingine binafsi ndio ingerusha kipindi kile kuwatuhumu viongizi wa ccm basi ingeshafungiwa, Je viongozi wa Chadema na wapenda haki hamfuatilii vitu hivi na kuripoti tume ya mawasiliana na baraza la habari?
 
Redio yenyewe ya ccm, unaotaka wapelekewe malalamiko ni makada wa ccm, unategemea nini hapo. Kese ya tumbili umpelekee nyani unategemea nini??.

Hizi ndo hadidu za rejea kwenye mikutano ya CDM. Tulishasema ccm wajimaliza wenyewe.
 
Hakukuwa na muda wa maswali na majibu?
Wangeulizwa kama alilipua kwa kumwaga petrol na kisha kuwasha kiberiti wangeitika ndio!
 
Redio yenyewe ya ccm, unaotaka wapelekewe malalamiko ni makada wa ccm, unategemea nini hapo. Kese ya tumbili umpelekee nyani unategemea nini??.

Hizi ndo hadidu za rejea kwenye mikutano ya CDM. Tulishasema ccm wajimaliza wenyewe.

Mkuu kwenye vita lazima ujuwe adui anatumia mbinu gani, mimi huwa natumia muda wangu kusikiliza redio za kipuuzi kusikiliza impact zao, kwanza hicho kibibi chenyewe cha kwanza kuhojiwa kilikili kwamba yeye hakusoma na hata kuandika alifundishwa na nyerere sasa hapa hapa ndipo unapoweza weza kupata upeo mpana kwamba ukisikia JK leo anaongea na wazee wa Dar (CCM) UJUWE ASILIMIA 98% ni wazee wa kiwango hicho, kwa hiyo kuna mengi ya kujifunza na kuyachukulia hatua, siamini kipindi kile tena kilikuwa recorded wakipelekewa baraza la habari eti watakaa kimya, si kweli nina imani na baraza la habari na ni wao ndio waliwaclear gazeti la mwananchi kwamba lilionewa na serikali. movement lazima ziwe kila upande kama wewe ungesikia matusi aliyotukanwa Dr Slaa in personal usingejisikia raha hata kidogo.
 
Ndugu zangu nimeshitushwa sana na matangazo ya Redio uhuru siku ya jumatano tarehe 1 mwezi 3 mwaka 2011, muda saa 2 mpaka saa 3 usiku. nikiwa naugulia mgao wa umeme huku nikiwa na kiredio changu cha mchina kinachotumia betri niliona nisikilize redio uhuru, kipindi kinaitwa CCM yajenga nchi mtangazaji wa kipindi ni Angel Akilimali, walianza na hotuba ya JK kujibu hoja za CHADEMA huku waki edit ile hotuba na kuweka vikorombwezo vyao, ilo sikulijali, lakini kilichonistua baadae vikakalibishwa vibibi viwili eti ni waasisi wa TANU, hapo ndipo walipoanza kumshushia matusi yasiosemeka Dr Slaa binafsi Na chadema NA wakadiliki kusema hata mabomu ya gongo la mboto ni Dr Slaa ndio ameyalipuwa. nina hakika kama redio nyingine binafsi ndio ingerusha kipindi kile kuwatuhumu viongizi wa ccm basi ingeshafungiwa, Je viongozi wa Chadema na wapenda haki hamfuatilii vitu hivi na kuripoti tume ya mawasiliana na baraza la habari?

Hayo ya CHADEMA kulipuwa mabomu mimi naweza kuamini kwa sababu huenda wanashirikiana na baadhi ya Maafisa wa Jeshi kulipua mabomu ili wananchi wafe na kujenga chuki ktk jamii kwa faida zao kisiasa!!!!!

Nchi hii ikiingia ktk machafuko au vita vya wenyewe kwa wenyewe bila shaka CHADEMA watawajibika!!! na tunaiomba Mahakama ya kimataifa ifuatilie kwa karibu hatua zote na kauli za Viongozi wa cdm za kuchohea mahafuko!!!!
 
Kwanza hivyo vibibi vichawi! Vinawanga mchana na usiku........vimetuma hivyo...yaani akili ya hivyo vibibi ndo akili ya ccm!
Mfa maji haishi kutapatapa. Sasa hivi ccm inatapatapa!

maji ya shingooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooo!
 
hawa ccm hawajifunzi mie nilihudhuria mkutano mmoja wa ccm wakati wa kampeni alisimama katibu mmoja wa ccm mwanamke alikuwa akimtukana dr slaa matusi ya nguoni mwanzo hadi mwisho watu niliokuwa karibu nao walishangaa na kudai hawataipa ccm kura hata kwa dawa na huo mkoa ccm imefanya vibaya mno. nyie vihiyo matusi hayamsaidii mtanzania matatizo yake mnajiua wenyewe halafu mnakimbilia usalama wa nchi unapotea mmekwisha.
 
Ndugu zangu nimeshitushwa sana na matangazo ya Redio uhuru siku ya jumatano tarehe 1 mwezi 3 mwaka 2011, muda saa 2 mpaka saa 3 usiku. nikiwa naugulia mgao wa umeme huku nikiwa na kiredio changu cha mchina kinachotumia betri niliona nisikilize redio uhuru, kipindi kinaitwa CCM yajenga nchi mtangazaji wa kipindi ni Angel Akilimali, walianza na hotuba ya JK kujibu hoja za CHADEMA huku waki edit ile hotuba na kuweka vikorombwezo vyao, ilo sikulijali, lakini kilichonistua baadae vikakalibishwa vibibi viwili eti ni waasisi wa TANU, hapo ndipo walipoanza kumshushia matusi yasiosemeka Dr Slaa binafsi Na chadema NA wakadiliki kusema hata mabomu ya gongo la mboto ni Dr Slaa ndio ameyalipuwa. nina hakika kama redio nyingine binafsi ndio ingerusha kipindi kile kuwatuhumu viongizi wa ccm basi ingeshafungiwa, Je viongozi wa Chadema na wapenda haki hamfuatilii vitu hivi na kuripoti tume ya mawasiliana na baraza la habari?


Du hiyo hatari sijaipata bado, yani wanachama wote wamekuwa waimba taarabu kama mkuu wao, wala sishangai
 
Hayo ya CHADEMA kulipuwa mabomu mimi naweza kuamini kwa sababu huenda wanashirikiana na baadhi ya Maafisa wa Jeshi kulipua mabomu ili wananchi wafe na kujenga chuki ktk jamii kwa faida zao kisiasa!!!!!

Nchi hii ikiingia ktk machafuko au vita vya wenyewe kwa wenyewe bila shaka CHADEMA watawajibika!!! na tunaiomba Mahakama ya kimataifa ifuatilie kwa karibu hatua zote na kauli za Viongozi wa cdm za kuchohea mahafuko!!!!

Uzuri mashabiki wa CCM kuwagunduwa ni rahisi mno wala hauitaji kuwa na degree, sasa angalia mvivu wa kufikiri kama huyu ambaye akupaswa kuwa na ubongo kwani uti wa mgongo ungemtosha, hivi CHADEMA ingekuwa na support ya jeshi tena kambi ya gongo la mboto ndio stoo ya silaha zote, si ingetumia ushawishi huo wa jeshi kumng,oa madarakani huyu mkwere anayewapa maisha ya mateso watanzania?
Jamani hivi leo hii sifa kuu ya kuwa mwanaCCM ni lazima uwe Juha au zezeta? my God!
 
mfamaji haachi kutapatapa, sasa mpaka wameanza kuita na vibibi kuwasaidia, nahisi wangeulizwa mwenyekiti wao ni nani wangejibu ni nyerere. acha waendelee kupiga kelele, their beautiful days are numbered
 
Ndugu zangu nimeshitushwa sana na matangazo ya Redio uhuru siku ya jumatano tarehe 1 mwezi 3 mwaka 2011, muda saa 2 mpaka saa 3 usiku. nikiwa naugulia mgao wa umeme huku nikiwa na kiredio changu cha mchina kinachotumia betri niliona nisikilize redio uhuru, kipindi kinaitwa CCM yajenga nchi mtangazaji wa kipindi ni Angel Akilimali, walianza na hotuba ya JK kujibu hoja za CHADEMA huku waki edit ile hotuba na kuweka vikorombwezo vyao, ilo sikulijali, lakini kilichonistua baadae vikakalibishwa vibibi viwili eti ni waasisi wa TANU, hapo ndipo walipoanza kumshushia matusi yasiosemeka Dr Slaa binafsi Na chadema NA wakadiliki kusema hata mabomu ya gongo la mboto ni Dr Slaa ndio ameyalipuwa. nina hakika kama redio nyingine binafsi ndio ingerusha kipindi kile kuwatuhumu viongizi wa ccm basi ingeshafungiwa, Je viongozi wa Chadema na wapenda haki hamfuatilii vitu hivi na kuripoti tume ya mawasiliana na baraza la habari?

Pole lakini wewe ulikuwa unataka kusikia nini kwa kusikiliza Redio Uhuru? Labda kama ni mpenzi wa taarabu sawa tunaweza kusema ulivutwa na mziki ukajikuta umenogewa!
 
Hayo ya CHADEMA kulipuwa mabomu mimi naweza kuamini kwa sababu huenda wanashirikiana na baadhi ya Maafisa wa Jeshi kulipua mabomu ili wananchi wafe na kujenga chuki ktk jamii kwa faida zao kisiasa!!!!!

Nchi hii ikiingia ktk machafuko au vita vya wenyewe kwa wenyewe bila shaka CHADEMA watawajibika!!! na tunaiomba Mahakama ya kimataifa ifuatilie kwa karibu hatua zote na kauli za Viongozi wa cdm za kuchohea mahafuko!!!!

Wewe Zubeda, unataka kutuaminisha kuwa wanajeshi wote waliokuwa makambini ni CHADEMA? Uwe unamwogopa Mungu
 
Hayo ya CHADEMA kulipuwa mabomu mimi naweza kuamini kwa sababu huenda wanashirikiana na baadhi ya Maafisa wa Jeshi kulipua mabomu ili wananchi wafe na kujenga chuki ktk jamii kwa faida zao kisiasa!!!!!

Nchi hii ikiingia ktk machafuko au vita vya wenyewe kwa wenyewe bila shaka CHADEMA watawajibika!!! na tunaiomba Mahakama ya kimataifa ifuatilie kwa karibu hatua zote na kauli za Viongozi wa cdm za kuchohea mahafuko!!!!

You must be sick somewhere, come for check ups!!
 
Ndugu zangu nimeshitushwa sana na matangazo ya Redio uhuru siku ya jumatano tarehe 1 mwezi 3 mwaka 2011, muda saa 2 mpaka saa 3 usiku. nikiwa naugulia mgao wa umeme huku nikiwa na kiredio changu cha mchina kinachotumia betri niliona nisikilize redio uhuru, kipindi kinaitwa CCM yajenga nchi mtangazaji wa kipindi ni Angel Akilimali, walianza na hotuba ya JK kujibu hoja za CHADEMA huku waki edit ile hotuba na kuweka vikorombwezo vyao, ilo sikulijali, lakini kilichonistua baadae vikakalibishwa vibibi viwili eti ni waasisi wa TANU, hapo ndipo walipoanza kumshushia matusi yasiosemeka Dr Slaa binafsi Na chadema NA wakadiliki kusema hata mabomu ya gongo la mboto ni Dr Slaa ndio ameyalipuwa. nina hakika kama redio nyingine binafsi ndio ingerusha kipindi kile kuwatuhumu viongizi wa ccm basi ingeshafungiwa, Je viongozi wa Chadema na wapenda haki hamfuatilii vitu hivi na kuripoti tume ya mawasiliana na baraza la habari?

Hawa watu wa ajabu sana, Ingekuwa Chadema wamesema hayo ilikuwa wafunguliwe mashtaka ya uchochezi na kuvunja amani.
 
zubeda kweli hukutakiwa kuwa na ubongo,matope na uti wa mgongo vingekutosha. umeolewa kweli? mmeo ana hasara.
 
Mmbea na Mwongo Mkubwa wee!

Unapomuhita mtu muongo toa na data kuthibitisha uongo wa unaemtuhumu, kumbuka JF sio jukwaa la mipasho hapa ni home of Great thinkers.
lakini si kosa lako unahitaji kufanyiwa maombi, kwani mpaka leo mtu yeyote mwenye akili timamu hawezi kuisupport CCM.
 
Jiepushe kabisa kusikiliza viredio uchwara kama hivi. Utapata presha ya bure.
 
Unapomuhita mtu muongo toa na data kuthibitisha uongo wa unaemtuhumu, kumbuka JF sio jukwaa la mipasho hapa ni home of Great thinkers.
lakini si kosa lako unahitaji kufanyiwa maombi, kwani mpaka leo mtu yeyote mwenye akili timamu hawezi kuisupport CCM.

Acha kulalama kama watu wa chama chako.
Hata tarehe na siku ulizotaja ni za uongo...
Si lazima ujaze umbea kwenye forum hata kama umeshapumbazwa na cdm.
 
Acha kulalama kama watu wa chama chako.
Hata tarehe na siku ulizotaja ni za uongo...
Si lazima ujaze umbea kwenye forum hata kama umeshapumbazwa na cdm.

Tofauti yangu na yako ni moja tu, mimi natumia ubongo kufikiri, wewe unatumia tumbo na makalio kufikiri kwa hiyo huwezi kuelewa nilichokiandika. pili kuhusu kulalama CCM ndio wanaolalama mpaka mwenyekiti wenu wa chama JK, na kuthibitisha kwamba CCM imekumbwa na kiwewe na wanakosa raha kwa sababu ya CHADEMA leo katibu mwenezi wenu Chiligati ametoa tamko lenu la CCM ili viongozi wa CHADEMA wakamatwe, ole wenu kama mtakuwa vipofu kufikia point hiyo, hapo ndio mtajuwa nini maana ya nguvu ya umma.
 
Back
Top Bottom