Nchi Kavu
JF-Expert Member
- Sep 11, 2010
- 4,289
- 2,472
Ni kweli kwamba matangazo ndio yanawalipa na kuendesha shughuli zingine tatizo matangazo yakizidi sana inakuwa kero hadi wasikilizaji wanahama kituo. Mfano mzuri ni clouds Fm na kipindi cha Power Breakfast.
Wengine ni magic Fm na kipindi chao cha morning magic. Matangazo yamezidi hao wadhamini wanawajazia matangazo na wakija kugundua wasikilizaji wamepungu nao watajipunguza.
Hivyo hasa kipindi cha Morning Magic mjipime
Wengine ni magic Fm na kipindi chao cha morning magic. Matangazo yamezidi hao wadhamini wanawajazia matangazo na wakija kugundua wasikilizaji wamepungu nao watajipunguza.
Hivyo hasa kipindi cha Morning Magic mjipime