Amalinze
JF-Expert Member
- May 6, 2012
- 6,780
- 5,318
Mkuu usiendekeze sana njaa,vingine we fanya for love
Mkuu watu tumetofautiana sana..binafsi sipendi info napenda muziki tu,,kama ni info ntazipata kwenye blogs,magazeti na tvRedio ni kuskiliza mziki pekee?? Si uweke flash?? Tunaskiliza redio utape info
Sent using Jamii Forums mobile app
Hayo usiniulize mimi,,we si unajua nyie kila kitu mnakuwa wa mwisho,Na sio wa mikoani tutaipataje?
Acha maneno yakoRadio naziona kama kitu cha old school hivi, muziki na habari zote zipo kiganjani
Sawa mkuu asante kwa kukushukuru pia,,hizi redio zinagonga ngoma sana ,,hasa hii 103.3,,inapiga za nje tu, kwa sisi tusiopenda miziki ya mondi na kiba,hizi ndio redio za kusikilizaAsante kwa taarifa mkuu ....nikirudi tz mimi ni full mziki...sipendagi mazungumzo
Hizi redio zinaliwaza mkuu,,huwezi kutyuni redio nyingine kabisa
Yap old xul keeps on reminding those old good days,No stress.Hizi redio zinaliwaza mkuu,,huwezi kutyuni redio nyingine kabisa