juvenile davis
JF-Expert Member
- Apr 13, 2015
- 4,752
- 4,475
Haya haya,kwa wale wote ambao mnapenda muziki basi kuna redio mpya hapa Dar,ukiachilia 103.3 ambayo wanapiga ngoma bila matangazo tena ngoma kali,basi ipo hii nyingine 98.5 ni hatari ,maana wanapiga old school hatari za miziki ya aina zote kasoro taarabu...haya kwa wale wenzangu na mimi wapenda muziki hizo hapo redio za kijanja
Kwa wale wenzangu na mimi ambao hampendi muziki wa bongofreva ,msiopenda muziki uliojaa sijui team mondi,sijui team kiba ,muziki wa hovyohovyo basi ni wakati wenu wa kutune hizo redio hapo..binafsi sijasikiliza redio zingine huu mwezi wa nne sasa hata nyimbo za bongo mpya sizifahamu na sihitaji Kuzifahamu kamwe,nipo bize na 103.3 nikiamua ni 98.5
Kwa wale wenzangu na mimi ambao hampendi muziki wa bongofreva ,msiopenda muziki uliojaa sijui team mondi,sijui team kiba ,muziki wa hovyohovyo basi ni wakati wenu wa kutune hizo redio hapo..binafsi sijasikiliza redio zingine huu mwezi wa nne sasa hata nyimbo za bongo mpya sizifahamu na sihitaji Kuzifahamu kamwe,nipo bize na 103.3 nikiamua ni 98.5