jamani msilalamike tu kwa vitu msivyovijua.. Lundenga alilieleza mapema kuwa miss world mwaka huu yanawahi ni mwezi wa 8 na sisi mwezi wa nane au tisa ndio tunatoa mwakilishi. Hivyo tusingekuwa na mwakilisha, hivyo kumefanyika kumtafuta mwakilishi wa dharula. ndio imefikia kumpata Lisa Jensen.
Hii si ndo ngoma ya ommy dimpoz?hana mpya...
hapo kweli ni goma lake lkn km vile hawaendani vile, well wenye BBM ukiangalia PIN yake 2936A8AA anamwekaga as DP yake
Hii si ndo ngoma ya ommy dimpoz?hana mpya...
Kibibi cha Turin (JUVENTUS huyooo)
Ha ha ha ahaaah!! Hata mimi nakuunga mkono Chimunguru aombe radhi...Aisee kuwafananisha bianconegri(juve) na huyo msichana ni kunikoseamheshoma mie mshabiki wa juve, tuombe msamaha tafadhari
dah....!! Haya ya kweli Muuza Sura???Hii si ndo ngoma ya ommy dimpoz?hana mpya...
asilimia mia mzee!hawa wadudu hata wewe ukitoa single ikihit basi utawanawa sana!na kama umejaaliwa bakora na pumzi za kutosha katika mchezo wa kiutu uzima, basi wanatangaziana hapo utawapanga balaa!......sasa pimbi kama timbulo naye wa kung'oa demu wa ukweli?dah....!! Haya ya kweli Muuza Sura???
Huyu Mwanamke si alishakuwa miss miaka ya nyuma mbona tena kawa miss tena hivi wanatumia vigezo gani kuwapata hawa mamiss.
bajeti ya kuendesha shindano mkuu,sunajua wazito walijitoa...hapa uinaepukwa aibu.
shosti....unajua wanachogombea kwa timbulo?.......inasemekana kazi anapiga kwa kupania!dogo anatuburuza mpaka wa mjini!si unajua watu wa bush katika nyanja flani!otherwise timbulo local tu!muuza sura cha kundharau tim nini wakati wenyewe mpaka wamgombea acha zako!