Red Mercury

Red Mercury

kama una Red Mercury nina wateja wanaohitaji sana Red Mercury.... PM me please
Usijisumbue bure, kama huamini endelea na hiyo dili la kijinga utajikuta umepoteza muda garama umeingia na huna la maana ulilopata kuanzia jan_ dec hakuna ulilofanya. Hapo ndg utapiga mpk viraka kwa tumaini mfu la utajiri hewa
 
kwa asili hakuna red mercury! ıla hua wanachukua mercury ya kawaıda na kuifanyıa Ma utundu kama ku heat at. a certaın temp kaa ukıjua hayo mambo utapeli uko karıbu yako kwa sana
 
Red mercury is a hoax substance of uncertain composition purportedly used in the creation of nuclear bombs, as well as a variety of unrelated weapons systems. Red mercuric iodide is a poisonous, odorless, tasteless, water-insoluble scarlet-red powder that becomes yellow when heated above 126 °C, due to a thermochromatic change in crystalline structure.[SUP][1][/SUP][SUP][2][/SUP] However, samples of "red mercury" obtained from arrested would-be terrorists invariably consisted of nothing more than various red dyes or powders of little value, which some suspect was being sold as part of a campaign intended to flush out potential nuclear smugglers. The hoax was first reported in 1979 and was commonly discussed in the media in the 1990s. Prices as high as $1,800,000 per kilogram were reported.[SUP][3][/SUP]
Red mercury - Wikipedia, the free encyclopedia
 
Wakuu mie mwenyewe nilipotezwa maporini miezi miwili. haya mambo ni ujinga tu, achana nayo. utaishia kupata mastori ya kufikirika tu na unatajiwa utajiri wa kukupumbaza
 
Wakuu mie mwenyewe nilipotezwa maporini miezi miwili. haya mambo ni ujinga tu, achana nayo. utaishia kupata mastori ya kufikirika tu na unatajiwa utajiri wa kukupumbaza

Mkuu tupe story ilikuwaje ili watu wajifunze maana rafik zangu pia washataka kutapeliwa na hawa jamaa wanaojifanya wanatafuta hiyo kitu.

Harafu baadaye unapigiwa simu na mtu anajifanya anataka kukuuzia utaambiwa utume pesa hakupatie.

Ukituma tu namba zao hazipatikan tena
 
Mkuu tupe story ilikuwaje ili watu wajifunze maana rafik zangu pia washataka kutapeliwa na hawa jamaa wanaojifanya wanatafuta hiyo kitu.

Harafu baadaye unapigiwa simu na mtu anajifanya anataka kukuuzia utaambiwa utume pesa hakupatie.

Ukituma tu namba zao hazipatikan tena

wana kawaida moja ya kusingizia kuwa mecury inaharibu magari na kuwa safari zake zina mikosi sana. kwa hiyo watakwambia wamekwama njiani hata mwezi. niliuza tv yangu, redio nikawatumia kahela kangu ka akiba kalikobaki mwisho wa siku jamaa hawaonekani. nikaamua kuwafuatilia dodoma NARCO waliponiambia kuwa wamefika lakini wapi..... kumbe chenga tu. Kufika pale wakaniambia mmoja wao kaugua amepelekwa Engusero kwa matibabu. Nikawafuata hukohuko lakini wapi hawapo. Hapo ndo nikajua kuwa nimeingizwa mjini.

Mimi mwanaume interactive. nikapata mwenyeji pale nikakaa kwake siku kadhaa. naye kumbe ndo wale wale wa stori za marupia, kanipampu weeeee, tukazifuata Kibiraashi tanga huko, kufika huko chafu. Tukarudi, nikakutana na mndorobo mmoja akaniambia yeye ana maji (Mercury nyekundu). Nikaanza kudili naye siku zikaende bila mafanikio.


Nakwambia nilitoka kule kama chizi kudadadeki, ukinitazama huwezi nitambua kama mimi ni a UNIVERSITY STUDENT. Tamaa ya mahela ya haraka ni noma wakuuu
 
wana kawaida moja ya kusingizia kuwa mecury inaharibu magari na kuwa safari zake zina mikosi sana. kwa hiyo watakwambia wamekwama njiani hata mwezi. niliuza tv yangu, redio nikawatumia kahela kangu ka akiba kalikobaki mwisho wa siku jamaa hawaonekani. nikaamua kuwafuatilia dodoma NARCO waliponiambia kuwa wamefika lakini wapi..... kumbe chenga tu. Kufika pale wakaniambia mmoja wao kaugua amepelekwa Engusero kwa matibabu. Nikawafuata hukohuko lakini wapi hawapo. Hapo ndo nikajua kuwa nimeingizwa mjini.

Mimi mwanaume interactive. nikapata mwenyeji pale nikakaa kwake siku kadhaa. naye kumbe ndo wale wale wa stori za marupia, kanipampu weeeee, tukazifuata Kibiraashi tanga huko, kufika huko chafu. Tukarudi, nikakutana na mndorobo mmoja akaniambia yeye ana maji (Mercury nyekundu). Nikaanza kudili naye siku zikaende bila mafanikio.


Nakwambia nilitoka kule kama chizi kudadadeki, ukinitazama huwezi nitambua kama mimi ni a UNIVERSITY STUDENT. Tamaa ya mahela ya haraka ni noma wakuuu

Ahsante sana mkuu kwa kutupasha habari..!! Hyo red mercury inasaidia kitu gan hasahasa na mfano kama mtu anayo anaipataje pataje.??? M mgen sana huko
 
hakuna kitu kama hicho red mercury ni utapeli tu....wafanyakazi wengi waliyopata viunua mgongo wameliwa sana sana hela zao na kubakia malofa tu.utasikiaaa mercury ipo lakini kuna bonge la nyokaaaa tatizo kumtoa nyoka huyo ili wachukue mercury....alafu mfano wao mkubwa utaskiaaa bakhressa kapata utajiri kwa sababu aliuza mercury bilions of money...jamaaa wana fixi sana
 
Wakuu mie mwenyewe nilipotezwa maporini miezi miwili. haya mambo ni ujinga tu, achana nayo. utaishia kupata mastori ya kufikirika tu na unatajiwa utajiri wa kukupumbaza
mfano wao wanakutolea kwa bakhressa kuwa aliuza mercury ndy kawa bilionea duh jamaaa waongo sana...yote wanataka kukulia hela zako tu
 
Hakuna hiyo maneno nakumbuka maea ya mwisho ni mepata misukosuko wakati huo na gazeti la Heko kuhusiana na hiyo bizinee.
 
Ahsante sana mkuu kwa kutupasha habari..!! Hyo red mercury inasaidia kitu gan hasahasa na mfano kama mtu anayo anaipataje pataje.??? M mgen sana huko

mkuu hamna kitu hapo wallah. Kama unaambiwa utajiri unaopatikana kwenye hayo mambo basi ni afadhali kuwa freemason ambako utatuza siri zao na kufuata masharti yao tuuu ukawa tajiri (lakini kama hitaji lako ni hilo ktk maisha). tunapaswa kujifunza kujifunza kuinuka taratibu na kufanikiwa kuliko kudhahania njia fupi.
leo hii mimi nayafahamu maeneo mengi ya kiteto ambako sikuwahi hata kuwaza kama ningefika kwa upumbavu huu ulionifanya nikaishia kulia kilio cha mbwa koko

Kuna jamaa kule aliyekuwa mwenyeji wangu yeye aliniambia kuwa amezunguka na anajua maeneo mengi yenye lupia, na hayo maji lakini kwa muda woote niliokuwa naye pale hakunifanikishia hitaji langu zaidi ya kukomba pesa yangu tu.

nilipomuuliza kama ameshawahi kupata hata lupia hizo cha ajabu ni kuwa hajawahi kuzipata ila kaishia kupewa story za akina bibi wanaomiliki. hata maji atakupa story za kutisha tu kama maji yanatoka kwenye mwamba na kuna joka kubwa blablablablablaaaaaaaaa

Ah! wanazingua tu wote bwana
 
Woote nanaoingia na Akili ya hla nyingi peke yake huwa wanapata shida sana na hivi vitu vipo sema kuna maswali ya Kujiuliza na hapo ndiyo wengi wanakwama......
 
Back
Top Bottom